Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo zinazo endelea hapo Uganda , sijasikia hata taifa moja la mabeberu likiongea, dhairi kwamba hawana interest na Uganda sababu ya kutokuwa na resources wanazo hitaji ....vibwengu hawa....hii mambo ingekuwa Tz saivi kila nchi ingekuwa na lakuongelea
Screenshot_20201124-133727.jpg
 
Chakavu wapi?kitu Safi sana,Kama tu kwa ndege🤣😍😍
Sishangai excitement yako kwasababu Miaka yote umekuwa ukipanda gari za matatu zilizojaa kunguni. Hizo second hand trains ni za kawaida tu mbona? Nothing special about them. Unless zingekuwa new na aina ya EMU labda Ndio ungenishawishi na mimi kusherehekea juu yenu.
 
Sishangai excitement yako kwasababu Miaka yote umekuwa ukipanda gari za matatu zilizojaa kunguni. Hizo second hand trains ni za kawaida tu mbona? Nothing special about them. Unless zingekuwa new na aina ya EMU labda Ndio ungenishawishi na mimi kusherehekea juu yenu.
Hawana uwezo wa kumiliki EMU wasubiri EMU za kwanza East and Central of Africa ambazo zitapatikana Tz watoe ushamba.
 
Back
Top Bottom