Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imekuuma sana Mombasa can level with Dar hehehehe[emoji23][emoji23] outside Dar in Tz hamna la kulinganisha na hiyo Dar[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1607900View attachment 1607889
View attachment 1607917

View attachment 1607918

Umia tu pole pole Ichoboy01., ama leta ile soko mnaita city yani Mwanza[emoji23][emoji23][emoji23] imeparara na kuchoka eti number 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cku hz mnaiogopa sn Dar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Really now? Bus stage of all the things? I don't understand your obsessions with bus stops. If i was in a position to influence government policy and plans, bus stage will be the last thing on my agenda.
Kwahyo muendelee na utumbo huu[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
tapatalk_1593850290682.jpeg
 
Haukuaribu hataa! Leo umekosa jibu, maybe jioni utakua nazo 😂😂., nice time💪👍👍👌
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏asante bro ukipata suburb kutoka msa za kufikia mwanza let me know usiache hilo
 
deal with moshi first 😂😂👇👇👇 na ukitaka tuingie kwenye hotels moshi utakimbia wewe😀😀😀


Now we are talking, lakini umepost CBD brooo..... i am talking about residential real estate where people stay (yani makaazi), unless you guys live in the CBD. Hotels ndio unataka sawa........Moshi vs Naivasha (Hotels) 🙂 🙂 🙂 🙂 Hizo zingine sijui Morogoro....usizitaje kabisa please!!!!
 
Acording to wikipedia kuna 47 county in Kenya, mpaka sasa 31 county haziko connect to electric grid, ndio kwanza wamepanga 15b Kes for hiyo kazi, hii ni kwa mujibu wa citizen tv, majirani mna safari ndefu mno tz tushaimaliza hii safariView attachment 1607975View attachment 1607976
halafu wakija hapa utasikia ooh tumeconnect umeme sehemu nyingi,,kumbe ni porojo tu
 
Back
Top Bottom