Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wawaombe yapiray mitambo yao ya mahandaki wahitumie kuchonga moja hapo kitonga. Huo mlima nao unachelewesha mizigo na abiria na pia lita punguza ajali sana tu.
Hii kitonga inatakiwa itafutiwe route mbadala, sehemu yoyote ikiporomoka hapo au kukiwa na land slide litazua majanga
 
jamaa kaua nchi hehehe duhhh😂😂👇
678B3343-9F73-4824-9EC6-BCE66EE97DD2.jpeg

8EE8481D-5FD2-4ED5-AA38-01245968CF9A.jpeg
 
Hapa Kigoma airport vp? Hali ndo hii? Dah JPM inabidi afanye maarifa aisee hii sehemu inakaa busy...

 
Back
Top Bottom