Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1st off if you are trying kenyan slang avoid mzee and use msee
2nd ni wewe umeanza haya mambo so wewe anza kutuambia unaweza afford gani
3rd those apply for tourists. I have a place to stay, and when i tour around the country like mombasa i dont have to pay $1,000 a night when I can comfortably get a $50 maximum for a night if im staying for like 2 days but for more days $1 a night can do.
Mzee has nothing to do with kenyans slang
2nd I can afford atleast 50$ per night as well
3rd kuhusu hotel tumewachapa za macho try other thing instead
 
hehe.. investors wa Kenya hao. au sio?
Pesa huja kwenye pesa hakuna investor anapeleka pesa kwenye hasara....investors kibao wanaingizana bongo kuja kutafut opportunities na ndio maana economy ya tz ina kua kwa speed kubwa sana😀😀😀😀😀
 
Mzee has nothing to do with kenyans slang
2nd I can afford atleast 50$ per night as well
3rd kuhusu hotel tumewachapa za macho try other thing instead
😀😀😀😀 wanajua mbona kua hawatoki ndio maana mguu ndani mguu nje
 
hehe.. investors wa Kenya hao. au sio?
Na ntakupa mfano hai
Kuna kampuni moja inaitwa dalbit nafkiri ni ya south africa, lakini walianza kuinvest kenya alaf wakaja tanzania lakini nenda uangalie biashara yao kubwa na assets zao ziko tanzania....yani kwa kifupi wamebadili upepo kwa tanzania
 
Do you know how much a 1 bedroom unit apartment will cost you at le mac?
 
First get the name right it's KEMPINSKI. not those names both of you are cooking up, ati kimski, mara kimsiki. Mnaharibu jina ya wenyewe.
ati sijui 'alamsiki' sijui 'kisiki'....
426107959_249449.jpg
 
Pesa huja kwenye pesa hakuna investor anapeleka pesa kwenye hasara....investors kibao wanaingizana bongo kuja kutafut opportunities na ndio maana economy ya tz ina kua kwa speed kubwa sana😀😀😀😀😀
sio wewe unayeongea hapa kuhusu Investors kila siku??? ama umesahau.
 
sio wewe unayeongea hapa kuhusu Investors kila siku??? ama umesahau.
Ndio nakupa mfano huo sasa usishangae kuskia economy ya kenya imeshikwa na wawekezaji kwasababu kenya inamilikiwa na watu wachache tu na hilo liko wazi niliwah kufika mombasa maeneo ya bamburi nikaoneshwa nyumba ya uhuru kenyatta nilishika kichwa yani kiwanja kikubwa sana tena sana sikuamini
 
Fyi the hotel industry in kenya os so mature, more than a century old now. The likes of stanley hotelbeing established in 1902. Hilton hotel the one you see now was built in the 50 's so there is no way you can compare the 2 cities in the hotel sector
 
Fyi the hotel industry in kenya os so mature, more than a century old now. The likes of stanley hotelbeing established in 1902. Hilton hotel the one you see now was built in the 50 's so there is no way you can compare the 2 cities in the hotel sector
Sure...so tanzania is far ahead....asante kwa ukweli
 
Ndio nakupa mfano huo sasa usishangae kuskia economy ya kenya imeshikwa na wawekezaji kwasababu kenya inamilikiwa na watu wachache tu na hilo liko wazi niliwah kufika mombasa maeneo ya bamburi nikaoneshwa nyumba ya uhuru kenyatta nilishika kichwa yani kiwanja kikubwa sana tena sana sikuamini
mzae wacha kudanganya. kwanza hakuna nyumba ya Uhuru Bamburi hehehehehe.... do you actually know who you are talking to????? jaribu fala ingine bangu bangu
 
mzae wacha kudanganya. kwanza hakuna nyumba ya Uhuru Bamburi hehehehehe.... do you actually know who you are talking to????? jaribu fala ingine bangu bangu
Mm nilioneshwa maeneo ya bamburi na mwenyej wangu....ar u the auditor of uhuru kenyata???
😀😀😀😀😀😀 jaribu kukua kidogo
Mtu ameshika ardhi ya kenya takriban robo alaf unazungumza nn
 
Back
Top Bottom