Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nikuletee za nairobi hapa, ukunye

unashangaa fance za mabati kwa ajiri ya ujenzi, au unadhani ni makazi ya watu kama pale kibera nairobi.
Video ya nai cbd nimeleta..tafuta u screenshot na wewe ulete
Yani barabara cbd zero
 
Mombasa huko kuna human poaching . Nimeona kwenye page ntvkenya eti jambazi unampola mwenye kibanda cha mpesa na wanapiga risasi na kuua mwanadamu kama mnyamapori . Serious kuna tatizo kubwa na watu wa usalama sijui wanakuaga wapi. Zamani nilikua naamini kenya ipo juu sana kumbe mnapenda kujifisia kuliko uhalisia . Wazee wa kujimwambafy
 
In Nairobi its not that bad since the private sector is strong and professional services are rising. The only challenge is in Upperhill since the area is inaccessible for most pedestrians. Westlands is doing fine. However, there is an oversupply for high end apartments all over the city,
Endelea kudanganywa na wewe ukenyue meno.
 
Vipaumbele vya JPM na Kikwete ni tofauti Sana, JPM amepeleka pesa za uwekezaji katika viwanda badala ya kujenga majumba marefu ambayo mchango wake katika kutoa ajira ni mdogo Sana, jaribu kufikiria jinsi kiwanda cha ngozi cha gereza la Karanga Moshi kitakavyotengeneza ajira kwa na ulinganishe na jengo la mzizima.
Mkuu huyu ni yule victim wa cheti fake...tusijichoshe
 
Excuses never leave a brain of kunyan .....a punk like you can't tell me nothing ...just try to be arrogant and hide behind the language as an excuse will not change this facts Dar es salaam is belong to Tanzanian and we build it from a scratch ,world bank value Dar es salaam real estate over nirobary, Dissim ranked higher in fastest growing cities and urban than your trush, The only city in EA where a billionaire is living plus larger numbers of millionaires compare to the rest of the EA cities,Tourism attractions, The only city in EA which do not suffer much concerning Electricity and water supply at reasonable fee, and the only city which have better public transport system so far
Its enough for today basing on your brain capacity.....View attachment 1534182View attachment 1534183View attachment 1534186View attachment 1534191View attachment 1534222View attachment 1534224View attachment 1534228View attachment 1534255
Pin.
 
EfHSdINXsAAibPC.jpeg
EfHSdINXsAAibPC.jpeg
 
Mombasa huko kuna human poaching . Nimeona kwenye page ntvkenya eti jambazi unampola mwenye kibanda cha mpesa na wanapiga risasi na kuua mwanadamu kama mnyamapori . Serious kuna tatizo kubwa na watu wa usalama sijui wanakuaga wapi. Zamani nilikua naamini kenya ipo juu sana kumbe mnapenda kujifisia kuliko uhalisia . Wazee wa kujimwambafy
Mkuu, watu wengi walikua wanafikiri Kunyaland ni kubwa tokea zamani,la hasha!Kenya ilikua inabebwa na propaganda,ili kuaminisha watu kwamba Ujamaa uliokuwa Tanzania na Ethiopia ni kitu kibaya,lkn angalia leo hii dunia iko uchi,kila mtu anajua Kenya mfumo wake wa kiuongozi ni duni sana,Ukabila na Rushwa ni kitu ambacho kinaitesa Kenya tokea awamu ya Jomo Kenyatta,Haki inapatikana kwa Pesa,Umoja wa kitaifa ni Mada kwao mpaka leo mwaka wa 50.Miji yao imetawaliwa na ualifu mkubwa sana wa kutisha,magenge ya Ulanguzi yanaendeshwa na wanaSiasa.......
 
Mkuu, watu wengi walikua wanafikiri Kunyaland ni kubwa tokea zamani,la hasha!Kenya ilikua inabebwa na propaganda,ili kuaminisha watu kwamba Ujamaa uliokuwa Tanzania na Ethiopia ni kitu kibaya,lkn angalia leo hii dunia iko uchi,kila mtu anajua Kenya mfumo wake wa kiuongozi ni duni sana,Ukabila na Rushwa ni kitu ambacho kinaitesa Kenya tokea awamu ya Jomo Kenyatta,Haki inapatikana kwa Pesa,Umoja wa kitaifa ni Mada kwao mpaka leo mwaka wa 50.Miji yao imetawaliwa na ualifu mkubwa sana wa kutisha,magenge ya Ulanguzi yanaendeshwa na wanaSiasa.......
Supporting document
 
Back
Top Bottom