Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi Habari kKenya wanazipata wapi?na balozi wetu huko Kenya anaona?...wanazisambaza duniani....Wakuu ama kuna mtu mwenye hii taarifa.View attachment 1526764
Mkuu nchi iliyo kosa mwelekeo utaijuaje walichobakiza mjungu yasiyo na kichwa miguu haijui iende wapi!.
Hayo 👆 mbambo yapo chini ya TCRA kumtumia JPM hapo n kosa kubwa wana ludi kulekule
 
Na hiyo media ina hasira na Tz maana kile kipindi walivyomkejeli JPM walipewa adhabu ya kuomba msamaha wiki nzima na channel yao kuondolewa kwenye kisimbuzi cha startimes hadi sasa hivi hiyo channel haijarudi.
Aha kumbe channel yao ya KBC ilitolewa
 
Back
Top Bottom