Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Conclusion
1.Nairobi has no regional competitor
2.Mombasa can compete with Dar
3.Mwanza is in the same level with Kisumu
4.Arusha ni sawa na Nakuru na Eldoret(its closeness to Kenya helped it)
5.Thika,Meru,Embu,Nyeri,Kakamega,Kisii,Bungoma,Kericho,Kisii,Nanyuki,Malindi beats Dodoma
6.Zanzibar share similarities with Lamu,Diani & Malindi
7.etc
Tunge amua kupanga miji unavyojua wwe unazan tungejadili kitu humu. Yaan kila mmoja aje na ranking yake kichwani!!! Huku nikuishiwa hoja na kwa maana hivyo Dar is the winner OVA
 
Tunge amua kupanga miji unavyojua wwe unazan tungejadili kitu humu. Yaan kila mmoja aje na ranking yake kichwani!!! Huku nikuishiwa hoja na kwa maana hivyo Dar is the winner OVA


bado tunangoja estate zenu.
.
kama mnaishi kiholela kama kuku mseme tu
 
bado tunangoja estate zenu.
.
kama mnaishi kiholela kama kuku mseme tu
Sisi sio watu wa Domitory!! maendeleo hayapimwi kwa kuhesabu number of domitories. Wahi kwenye domitory utafungiwa wwe. Wanaume tuelekea mitaa ya kula bia kma kawaida.
 
IMG-20170614-WA0005.jpg
wamekubali kulipa hawa acasia. Hongera dkt magufuli kwa kufanya kazi mzuri. 84b usd ni fedha nyingi sana pia zitasaidia kujenga reli za umeme kutoka dar hadi mwanza na shuguli nyingi zakiuchumi. Hapa hakuna kukopa pesa kama wakenya wanavyofanya
 
Sisi sio watu wa Domitory!! maendeleo hayapimwi kwa kuhesabu number of domitories. Wahi kwenye domitory utafungiwa wwe. Wanaume tuelekea mitaa ya kula bia kma kawaida.


Shell head.......leteni madongo poromoka tutakubali. ......mnaweweseka mbona
 
They are expecting to be paid that amount. They claim they have been stolen over the years(20yrs) from mining.
Im just wondering how you can think that you will get back $84bn just like that... You think its a walk in the park?


walipwe na nani....Hahaha.
 
off topic kidogo:
hatimaye mzungu a-surrender kwa rais wa tanzania.

wakati marais wa nchi nyingi za afrika hususani kenya hupenda kwenda ulaya kulamba miguu ya wazungu,mzungu John L. Thornton ambaye kiwadhifa ni Mwenyekiti wa kampuni kubwa duniani linalojishughulisha na uchimbaji madini,barrick gold corporations,leo amekuja tanzania na ndege yake binafsi ku-resolve the ongoing mining conflict with our president, Dr John Magufuli.
865ccf2d69559c29da89f5cd92a151c0.jpg
20dad41c33360ee2102ebc12c6cdbe83.jpg


hii haijawahi kutokea nchi yoyote EA.kama iliwahi kutokea,basi ni zamani sana isipokuwa tanzania.

ikumbukwe JPM,tangu awe rais,hajawi kuwa na kiherehere cha kwenda ulaya kujipendekeza kwa wazungu kama anavyofanya Uhuru kenyatta au kama alivyofanya jakaya kikwete,mpaka watz tukampa jina Vasco da gama the explorer.

asante sana jpm kwa kurejesha heshima ya mtz.wazungu watakuja wengi sana kutubembekeza round hii.
 
Acacia wamekubali kulipa mabilioni ya pesa wanazodaiwa kwa tanzania....kweli tanzania sasa kazi ni kazi😀😀😀😀😀😀
 
walipwe na nani....Hahaha.
mwambieni uhuru kenyatta yeye aendelee tu kwenda Europe na US ku-handshake na kupiga selfie na kina Donald trump.sisi hapa ni kazi tu.

off topic kidogo:
hatimaye mzungu a-surrender kwa rais wa tanzania.

wakati marais wa nchi nyingi za afrika hususani kenya hupenda kwenda ulaya kulamba miguu ya wazungu,mzungu John L. Thornton ambaye kiwadhifa ni Mwenyekiti wa kampuni kubwa duniani linalojishughulisha na uchimbaji madini,barrick gold corporations,leo amekuja tanzania na ndege yake binafsi ku-resolve the ongoing mining conflict with our president, Dr John Magufuli.
865ccf2d69559c29da89f5cd92a151c0.jpg
20dad41c33360ee2102ebc12c6cdbe83.jpg


hii haijawahi kutoka nchi yoyote EA.kama iliwahi kutoka,basi ni zamani sana isipokuwa tanzania.

ikumbukwe JPM,tangu awe rais,hajawi kuwa na kiherehere cha kwenda ulaya kujipendekeza kwa wazungu kama anavyofanya Uhuru kenyatta au kama alivyofanya jakaya kikwete,mpaka watz tukampa jina Vasco da gama the explorer.

asante sana jpm kwa kurejesha heshima ya mtz.wazungu watakuja wengi sana kutubembekeza round hii.
 


mwambieni uhuru kenyatta yeye aendelee tu kwenda Europe na US ku-handshake na kupiga selfie na kina Donald trump.sisi hapa ni kazi tu.

off topic kidogo:
hatimaye mzungu a-surrender kwa rais wa tanzania.

wakati marais wa nchi nyingi za afrika hususani kenya hupenda kwenda ulaya kulamba miguu ya wazungu,mzungu John L. Thornton ambaye kiwadhifa ni Mwenyekiti wa kampuni kubwa duniani linalojishughulisha na uchimbaji madini,barrick gold corporations,leo amekuja tanzania na ndege yake binafsi ku-resolve the ongoing mining conflict with our president, Dr John Magufuli.
865ccf2d69559c29da89f5cd92a151c0.jpg
20dad41c33360ee2102ebc12c6cdbe83.jpg


hii haijawahi kutoka nchi yoyote EA.kama iliwahi kutoka,basi ni zamani sana isipokuwa tanzania.

ikumbukwe JPM,tangu awe rais,hajawi kuwa na kiherehere cha kwenda ulaya kujipendekeza kwa wazungu kama anavyofanya Uhuru kenyatta au kama alivyofanya jakaya kikwete,mpaka watz tukampa jina Vasco da gama the explorer.

asante sana jpm kwa kurejesha heshima ya mtz.wazungu watakuja wengi sana kutubembekeza round hii.
 
Conclusion
1.Nairobi has no regional competitor
2.Mombasa can compete with Dar
3.Mwanza is in the same level with Kisumu
4.Arusha ni sawa na Nakuru na Eldoret(its closeness to Kenya helped it)
5.Thika,Meru,Embu,Nyeri,Kakamega,Kisii,Bungoma,Kericho,Kisii,Nanyuki,Malindi beats Dodoma
6.Zanzibar share similarities with Lamu,Diani & Malindi
7.etc
Zanzibar mmekimbia kwenye hoteli 😀😀😀😀
Hakuna mji kenya unaeza kimbizana kwa hoteli na beaches mbele ya zanzibar😛😛
Nairobi kwa dar bado sana ...usijipe moyo
Kisumu kwa mwanza utasaga meno sana
Arusha sio level ya nakuru maana nakuru nakupa moshi tu na hutoboi
 
They are expecting to be paid that amount. They claim they have been stolen over the years(20yrs) from mining.
Im just wondering how you can think that you will get back $84bn just like that... You think its a walk in the park?
Hapo ndio utajua, makontena yaliozuiliwa bandarini zaidi ya 250 yanathamani zaidi ya 2 to 3 billion usd au zaidi
 
Back
Top Bottom