Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_4328.jpg
 
Viko wazi inawauma kuona 99bil jidipi inauwez wa kufinance mrad wa 250 mill inakuwaje 63 bill GDP iwe n nguvu ya kufinance billions projects....anakuja n tatu city hapa km ushaidi
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Kuna kipindi huwa nawaza kuacha kushindana na Kenya maana ni weupe sana,debe tupu,hata wao wanajua kupitwa na Tanzania ni muda tu hasa kwa uelekeo tulioamua kuuchukua kwa sasa.Baada ya kuingia uchumi wa kipato cha kati hali yao ndo itakuwa taabani kabisa,maana sasa tutakuwa na uwezo wa kukopa zaidi na kufadhili miradi mikubwa ya kimkakati,pia wawekezaji watahamasika zaidi kuja kuwekeza Tanzania kwa maana ya soko la uhakika na infrastructures achia mbali mali ya asili tuliyobarikiwa na Mungu.

Kenya weupe sana cheki hii comparison ya kiuchumi kati ya Tanzania na Kenya kwny hii link chini;

Kenya vs. Tanzania - economy comparison
 
SGR phase financed by gvt of tz 1.2b usd

SGR phase two 1.4b usd soft loan + 0.5b usd from gvt of tz = 1.9b

nyerere hydro electric power 3b usd financed by gvt

mtwara and tanga port expansion 500m usd financed by gvt

ndege za air tanzania over 1b usd financed by gvt if tanzania 11brand new aircrafts
Na miradi hiyo yote magu hajakanyaga ulaya kujipendekeza na kutia sura ya huruma kwa mabeberu,miradi yote pesa za ndani
 
Yes. Nairobi has the highest building & skyline, economy, literacy, culture, infrastructure, airport, railway etc etc.. In East and Central Africa.
Ubongolalas wenyewe wanakuja kufanya kazi Nairobi kwa kishindo ili akirudi kwao awe na hela nyingi za madafu.
Kenyans go to Dubai, Europe, South Africa etc USA for higher paying jobs.
There's levels to this shit.
Which Airport, That old and ugly JKIA?
 
Back
Top Bottom