Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Morogoro market 90% ready


EZXNBVaWkAAZEzA



 
Ushawai ingia nairobi terminus ujue kwnn pametengenezwa vile au unawehuka tu..
Anyway naona unatafuta pa kutokea katika hyo cruise ship terminal
Yani hapo ndani kumeundwa kila sehemu na ishu zake..we ndio unashangaa escalators
Still design ya kishamba! Nchi zilizoendelea unapanda mara moja halafu unakwea treni ama ndege ama meli! Ila nchi za kifala kama Kunyaland ni mwendo wa kusukuma mlevi kwa kumsifia first class SGR, first class train terminus au first class cruiseships terminal au first class airport terminal ile ya JKIA ina ma-ramp marefu mpaka airport's airside ! Imagine mtu Anashuka kwa ndege then ramp anapanda ghorofani then anashuka kufika customs desk! Haki nyie ni "wali wao"!
 
Wanatakiwa wachore dermacation lines lakini!
Hivi maunjinia wetu hawana viwango na standard za kujenga barabara ,? Maana zinakuwa na mapungufu yasiyo na msingi nyingine hazina njia za wapita kwa miguu sehemu yenye watembea kwa miguu nyingine zimejengwa matuta ya ajabu ajabu yanasababisha hadi Gari kuchomoka vioo matuta yanatengeneza vibration kama yaliyo wekwa eneo LA banana hapa dar ,mfano mwingine ni mitaro ya mvua VP unajenga mitaro ya wazi sehemu kama ile ya shule ya benjamini mkapa sec wakati pale ni cbd serikali lazima itengeneze miiko ya ujenzi kwa mainjinia hapa tz ,au unakuta barabara za mijini hazina Taa hadi unajiuliza hizi tenda za ujenzi zipoje zipoje ,?????????

Send by APOLO 1
 
Huwa wanasema wapo kwenye 20,000km
LOL waitoe wapi?
Ndio maana hulazimisha kwa nguvu kwamba sisi tunazo kilometres 8k za lami, wangekua nazo hizo 20k wasingukua wagumu kurealize the reality kwamba Tanzania tuna zaidi ya 15k za lami

Inawawia vigumu kukubali ukweli mchungu huo sababu wanajua tulishawaacha mbali mno kwenye hiyo sector.
 
If wishes were horses....jaza pengoweka facts for both countries, mnapenda kujikweza mahali hampo., mara road network, hotels, sijiu nini facts zikiwekwa peupe by reputable bodies inaonekana mko bado hadi mukulu anajikaza kwenye speech to round off atleast ionekane mko afadhali.,(propaganda as usual), now including those under construction ndio inawapa 15k km., of which your govt is likely to extrapolate the kms kuwapumbaza
Weka facts stop wishful thinking., what you have on roads in relation to the size of your country and population is a shame.
LOL waitoe wapi?
Ndio maana hulazimisha kwa nguvu kwamba sisi tunazo kilometres 8k za lami, wangekua nazo hizo 20k wasingukua wagumu kurealize the reality kwamba Tanzania tuna zaidi ya 15k za lami

Inawawia vigumu kukubali ukweli mchungu huo sababu wanajua tulishawaacha mbali mno kwenye hiyo sector.
 
If wishes were horses....jaza pengoweka facts for both countries, mnapenda kujikweza mahali hampo., mara road network, hotels, sijiu nini facts zikiwekwa peupe by reputable bodies inaonekana mko bado hadi mukulu anajikaza kwenye speech to round off atleast ionekane mko afadhali.,(propaganda as usual), now including those under construction ndio inawapa 15k km., of which your govt is likely to eztrapolate the kms kuwapumbaza
Weka facts stop wishful thinking., what you have on roads in relation to the size of your country and population is a shame.
Tunajua Ke mmepave 10% tu iyo pia ni shame
 
Back
Top Bottom