Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,290
- 3,647
alafu mi uwaambiaga... jengeni miundo mbinu kwanza kisha wawekezaji wakiona mandhari mazuri ya kuja, watajitokeza tu. kisha angalia wakati Nairobi ikipanda ,,, dar inazidi kuenda chini. serikali yenu sijasikia inajenga tower nyingine. meanwhile Nairobi bado hatujatosheka na highways.