kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Upo sahihi katika hili.Hii kweli, hata mimi sioni sababu kushoot videos SA.
Upo sahihi katika hili.Hii kweli, hata mimi sioni sababu kushoot videos SA.
tanzania kisiwa cha amani.Kenya hakuna matata. .....unadhani mbona wacongo Nigerians Sudanese wamejaa huku na hawadai kurudi makwao. ..mmhh
Wewe umekua hapa but ni mjinga sanaWakenya walioingia hivi karibuni ni washamba sana. Hawana point zaidi ya kutoa matusi.
But Tanzania iko na natural beauty kushinda south A..ie Kilimanjaro,Serengeti etc kwa nini mshinde mkienda south AWtz wanapenda sana South Africa kwahyo hapo kuna hitaji ushawishi mkubwa sana...mazingira na kila kitu south wako mbele kuliko nchi yoyote Africa....
Video za Tz zipo kibao nashindwa kuelewa tatizo ni ubunifu au nn maana uko south kuna vitu vingi vya kujifunza pia, kama wangeweza kuleta producers kama alivyofanya Diamond kwa video ya SALOME Pia Ni jambo jema
But Tanzania iko na natural beauty kushinda south A..ie Kilimanjaro,Serengeti etc kwa nini mshinde mkienda south A
wakenya sometimes huwa mnashangaza sana.miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusoma comments za wakenya kuhusu tz.Tekno miles alishoot ngoma kwa slum kama Ile 'rara ' but ikahit sana......same na wizkid wa ojuelegba. ......the difference is usually the producer and the artist himself.You are busy enriching SA at your own expense.....hizo places unasifu sana S.A. zimejaa hapa east Africa pia there are some good spots in Nairobi or Dar that can perfectly give you your dream video.....but there is no problem in shooting a video abroad ...shida ni if three quarter of your videos ni za ugenini
Hii story yote sasa nani atasoma...si uandike novelwakenya sometimes huwa mnashangaza sana.miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusoma comments za wakenya kuhusu tz.
wakenya walikuwa wanasema watanzania hawapo exposed na mazingira ya nje ya tz.kwamba hawapendi kujaribu fursa nje ya mipaka ya tz.
baada ya vijana wa kitz kuamua kutoka nje ya mipaka yao ku-shoot video zao zinazipendwa na zenye watazamaji wengi youtube,wakenya walewale mnarudi tena kushauri wasitoke nje ya nchi ku-shoot.SMH
siku zote huwa nasema,ukiona mkenya anamshauri mtz kuhusu jambo fulani,fahamu kwamba anashauri kwa kuwa ameona dalili ya kumzidi kimaarifa na sio kwamba amependa progress yako.
nalizungumza hili kwa uzoefu wa kuishi na wakenya.nawafahamu vizuri.
kiswahili cha tz ni next level kwako,you need a dictionary to fathom my point.Hii story yote sasa nani atasoma...si uandike novel

kadoda hapo nayo umechemsha........stop this hasty generalization fallacy .....when I see some Tanzanians in BBC Swahili celebrating whenever alshabaab strikes Kenya. ...I only take them as individual biases.It would be fair to take that with hook and sinker that it's all Tanzanians.wakenya sometimes huwa mnashangaza sana.miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusoma comments za wakenya kuhusu tz.
wakenya walikuwa wanasema watanzania hawapo exposed na mazingira ya nje ya tz.kwamba hawapendi kujaribu fursa nje ya mipaka ya tz.
baada ya vijana wa kitz kuamua kutoka nje ya mipaka yao ku-shoot video zao zinazopendwa na zenye watazamaji wengi youtube ikiwemo wakenya,wakenya walewale mnarudi tena kushauri wasitoke nje ya nchi ku-shoot video.SMH
siku zote huwa nasema,ukiona mkenya anamshauri mtz kuhusu jambo fulani,fahamu kwamba anashauri kwa kuwa ameona dalili ya kumzidi kimaarifa na sio kwamba amependa progress yako.
nalizungumza hili kwa uzoefu wa kuishi na wakenya.nawafahamu vizuri.
Kiswahili nilifanya high school na nlipita vibaya sana...huwezi nitisha na swahili mseekiswahili cha tz ni next level kwako,you need a dictionary to fathom my point.![]()
Mombasa has the best Swahili. . Tanzanians shrub with some lettersKiswahili nilifanya high school na nlipita vibaya sana...huwezi nitisha na swahili msee
sasa mbona umeshindwa kuelewa hapa?Kiswahili nilifanya high school na nlipita vibaya sana...huwezi nitisha na swahili msee
wakenya sometimes huwa mnashangaza sana.miaka kadhaa iliyopita niliwahi kusoma comments za wakenya kuhusu tz.
wakenya walikuwa wanasema watanzania hawapo exposed na mazingira ya nje ya tz.kwamba hawapendi kujaribu fursa nje ya mipaka ya tz.
baada ya vijana wa kitz kuamua kutoka nje ya mipaka yao ku-shoot video zao zinazopendwa na zenye watazamaji wengi youtube ikiwemo wakenya,wakenya walewale mnarudi tena kushauri wasitoke nje ya nchi ku-shoot video.SMH
siku zote huwa nasema,ukiona mkenya anamshauri mtz kuhusu jambo fulani,fahamu kwamba anashauri kwa kuwa ameona dalili ya kumzidi kimaarifa na sio kwamba amependa progress yako.
nalizungumza hili kwa uzoefu wa kuishi na wakenya.nawafahamu vizuri.