sheria iseme isiseme kuonyesha silaha hadharani tena kwenye mkutano wa kampeni ni UGAIDI, na huyu amekuwa akisaidia al shabab moja kwa moja toka Tanzania.Ni mwenyekiti wangu Simba ila nina wasiwasi sana na nyendo zake. Afuatiliwe huyu si mwema kwa Taifa. Anajificha nyuma ya michezo na siasa kutimiza azma zake.
Sheria zinasema watu wote ni sawa,
ila (unwritten) kuna walioko sawa zaidi kuliko wengine!!
Kwenye gazeti la Mwananchi la Leo Ijumaa tarehe 23 September 2011 limeweka Picha ya rage akiwa na "kipaja cha Jogoo" kwenye kampeni za Igunga, nimepata shida kuelewa dhamira yake ni ipi hasa; je anathibitisha madai ya Bosi wake Mukama kuwa Usalama wa Taifa wamelala usingizi au ni kuthibitisha madai ya wanyonge kuwa Usalama taifa ni kwa ajili ya CCM? Je na mimi nitafute hata sanamu tu ya Bastola nipite nayo mtaani kwa stayle kama ile? je kuna wachache wako juu ya sheria? Nimeuliza tu jamani..
View attachment 37704
Rage mgeni wa mambo hayo.kakipata juzi tu.analingishia watu na kuwapiga mkwara watu.
Kwa nini anachaguliwa sana kila anakogombea?
mungu wangu!!! Ubunge tuu yamekuwa haya? Sasa napata picha halisi kwenye urais itakuwaje
Nafikiri sheria imekupiga chenga.
Sasa na wale polisi wanaotembea na silaha khadharani kwenye mabenk na mitaani ni magaidi?
Kifupi kinachokatazwa na Sheria ni kumtishia mtu silaha au kumlenga (kumuonyeshea kuelekea ulipo mwili wake) ni kosa. lakini kuihifadhi kiunoni na watu wakaioana hakuna kosa llolote.
hivi mna uhakika gani kama ni bastola ile?,..pengine simu...mimi nilidhani alibust shot moja hewani sababu hiyo ndio proof
Mkumbuke huyu si mtanzania ni msomali lolote aweza fanya
tena 'kwao' hivi vibastora wanatembea navyo watoto tu na nadhani ukiingia zaidi ndani kwake huwezi kosa AK47 na SMG kadhaa, usijekuta Al-Shaabab wana active wing ndani ya TZ
nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa tabora mjini ismail aden rage anapanda jukwaani na libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? Ccm ni hatari jamani ni kifo..
View attachment 37707Rage na Bastola