PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Jambo wakuu.
Jana nilibahatika kupitia ofisi fulani, nikakutana na maafande wa polisi, RPC wa Arusha Basilio Matei. Katika maongezi akamtambulisha afande Thomas Andengenye( RPC MORO), akasema ndiye anayechukua nafasi yake, ambapo yeye Basilio anahamishiwa makao makuu dar! Lakini leo katika maongezi na watu nimeambiwa Afande Matei ameondolewa Ars kutokana na kuruhusu ushindi wa mbunge mpinzani Arusha mjini, wakati alikuwa na uwezo wa kutumia nguvu za dola kupindua. Hii mnaichukuliaje wakuu? Inawezekana?
Jana nilibahatika kupitia ofisi fulani, nikakutana na maafande wa polisi, RPC wa Arusha Basilio Matei. Katika maongezi akamtambulisha afande Thomas Andengenye( RPC MORO), akasema ndiye anayechukua nafasi yake, ambapo yeye Basilio anahamishiwa makao makuu dar! Lakini leo katika maongezi na watu nimeambiwa Afande Matei ameondolewa Ars kutokana na kuruhusu ushindi wa mbunge mpinzani Arusha mjini, wakati alikuwa na uwezo wa kutumia nguvu za dola kupindua. Hii mnaichukuliaje wakuu? Inawezekana?