KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Ushahidi wa amri ya kuua uko wapi?
huyu mbumbumbu kweli. Unataka tape?
Ushahidi wa amri ya kuua uko wapi?
Kule ni kujibu barua na madokezo tu!! Hakuna dili!!Hivi kupelekwa makao makuu ya polisi ni adhabu?? How? Au hamna dili? nielewesheni.
Hivi huwa unatolewa kimaandishi sio?Ushahidi wa amri ya kuua uko wapi?
Suppose the thread owner is Basilio what evidence would you like to get from him? With your narrow thinking capacity this is possible?Wapo binaadamu wenye ujasiri huu ............ lakini KAMA HUTULETEI USHAHIDI WA MAANA HAPA KUHUSU HAYO (kwenye red) mi sitakutofautisha SAAANA NA MAKAMBA na CHILIGATI ..... maana nao HUROPOKA KAMA WEWE...
EVIDENCE PLEASE , maana unazungumza maneno yenye UZITO, so usije UKAWA WEWE ndo BASILO MTEI mwenyewe hapa unataka UJENGE HESHIMA.
EVIDENCE au TUTOLEE UPUUZI WAKO HAPA
Hivi kupelekwa makao makuu ya polisi ni adhabu?? How? Au hamna dili? nielewesheni.
Suppose the tread owner is Basilio what evidence would you like to get from him? With your narrow thinking capacity this is possible?
Habar nilizozipata kwa Mdau mmoja ambaye ni Afande pande za kule ni kuwa,Arusha hali ilikuwa ni tete sana siku ile,jamaa ana kiri kuwa walishazidiwa maarifa na wananchi juu ya kufanya fitna zilizo Injiniwa na EL Batilda ashinde,watu walikuwa wanatembea na Ndoo za Petrol siku ile,jamaa anaendelea kusema kuwa EL alikuja na gari lenye Tinted na kama M Mia nane hiv za Kumhonga Godbless aachie jimbo,Wanachama wa CDM walistukia hilo na wakamwambia God kuwa akikubali huo ujinga ataikuta Familia yake yote Mochwari (chumba
Jamaa anendelea kuhabarisha kuwa cha kuhifadhia maiti).Yalitkea majibizano kati EL na mdau mmoja ambaye hakufahamika vyema,inasemekana jamaa alikuwa anamuita EL fisadi,inasadikika kuwa EL alitoa bastola na ku shoot jamaa mguun (Hii imezimwa juu kwa juu kwa mujibu wa muhabarishaji).
Afande Mathayo kuhamishwa huku inasemekana ni shinikizo la EL.
Hii ndo Tanzania wakuu...
Wapo binaadamu wenye ujasiri huu ............ lakini KAMA HUTULETEI USHAHIDI WA MAANA HAPA KUHUSU HAYO (kwenye red) mi sitakutofautisha SAAANA NA MAKAMBA na CHILIGATI ..... maana nao HUROPOKA KAMA WEWE...
EVIDENCE PLEASE , maana unazungumza maneno yenye UZITO, so usije UKAWA WEWE ndo BASILO MTEI mwenyewe hapa unataka UJENGE HESHIMA.
EVIDENCE au TUTOLEE UPUUZI WAKO HAPA
acha upapasi . unadanganya watu live . aliyepiga risasi ni mtu mwingine kabisa . usikurupuke tu.
aliyeshoot mtu si Lowasa bali ni tycoon mmoja jijini arusha,hii ilitokea baada ya gari lake kuhisiwa vibaya na wakereketwa wenye hasira na kuanza kushambuliwa.