Basilio Matei Mbuzi Wa Sadaka?

acha upapasi . unadanganya watu live . aliyepiga risasi ni mtu mwingine kabisa . usikurupuke tu.

Mkuu,hiyo issue ya EL imezimwa kwa mujibu wa muhabarishaj,mie nasema tu yale niliyoyasikia though i dont have evidence as most of us here....
Sikulazimishi uamini mkuu coz kama ni kweli tumekuwa shielded na hii issue Kaka/Dada.??
 
Ndio maana tunasema katiba mpya ni lazima Tanzania kwa sasa! Haya yote yasingekuwepo kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi!! Ni wajibu wetu sote mimi, wewe, na wanachama wote wa vyama vya siasa ikiwemo CCM kuhakikisha tunapata katiba mpya inayokidhi pamoja na mambo mengine demokrasia ya vyama vingi. Sisi wote (isipokuwa Mafisadi, akina Kikwete na genge lake) ni wahanga wa katiba ya sasa! Wakati ni huu tui-dai katiba mpya kwa nguvu zote!!! Tuachane na porojo za akina Mkapa, Mark Bomani na wengine wanaosubiri wastaafu ndio waseme kuna haja ya katiba mpya!!
 
Nilikuwepo Ars. Siku ya tukio na nilishudia mambo mengi hali ilikuwa tete sana lakini kwa uzoefu wangu na mambo ya kiusalama hapakuwa na raia ambaye alikuwa na nia kufanya fujo au kuvuruga amani hata kama ungewauliza wanausalama wengi waliokuwepo eneo lile na hata nilipoingia sehemu za ndani zinapotoka amri hizo ambako kulikuwa mkuu wa ffu mkoa na ocd aitwaye zuberi mwombeji na niliiongea na ocd kirafiki zaidi kuwa kama hawatatangaza matokeo mapema hali ya amani inaweza kuvurugika na hali itakuwa mbaya kwa upande wa vyombo vya usalama kulingana na umati uliokuwepo na kuzidi kuongezeka na wako tayari kwa lolote wakichokozwa niliishia kuambiwa kuwa hakuna kitu kama hicho na nilitakiwa kusubiri ili nione nguvu ya serikali na baada ya muda mfupi zililetwa bunduki kama nane hivi kwenye toyota landcruiser ya utalii na walishuka cid wawili na kumuuliza ocd.kama wazitoe au vipi akamwambia zitoe na leo tutatumia nguvu zozote tulizo nazo ili wajue nguvu ya dola nikajaribu kumwambia siyo busara watachufua amani lakini mkuu wa ffu mkoa akaingilia na kudhani mi mwana harakati nikaondoka.

Na mtu aliyepiga risasi ni mpambe wa mfanya biashara wa madini aitwaye Ole mako(Lemakoo) na gari liliharibiwa vibaya sana .

Kuhusu Matei nadhani kama serikali yetu ingekuwa inaona mbali ingemtukia nishani maana alitumia Busara sana na ndiyo maana baada ya kutangazwa matokeo watu walisalimisha petroli,baruti,zana za milipuko na kila aina silaha waliyokuwa nayo kwa polisi kitu ambacho siyo cha kawaida hiyo yote ilitokana na polisi kutokuwachokoza raia na kama matei angetumia amri aliyopewa hali ingekuwa mbaya kuliko hata ya zanzibar na ndipo mahali zingeanzia vurugu za nchi nzima hivyo kama kuna mtu mtunza amani na busara ni Matei maana TISS walikuwa busy ndani ya jengo wakitafuta namna ya kubalisha matokeo halisi.
 
Kinachosikitisha ni kitendo cha kumwondoa muda huu wa mwaka(kuelekea x-mas), ambapo huwa kuna matukio ya kutisha sana Arusha. Ni wazi wanajua Matei amepazowea Arusha, na anajua mbinu za uhalifu za hapa kwa undani, lakini hakuna anayewaza juu ya tija ya utumishi muda huu, bali kinachotakiwa ni kulinda CHAMA TAWALA, hata kama itazigharimu vipi sekta zingine za umma.
Namwamini sana IGP Said Mwema, lakini kwa hili sijui imekuwaje hadi akaingia kwenye mtego wa mwovu!
 
Basilio ni jasiri, Basilio anatambua uwepo wa peoples power, Basilio anakubali ukweli, Basilio ni miongoni mwa watu wanakeleaza haki.
Wao wana Pesa sisi tuna Mungu.
 
yAANI KILA NIKISOMA HII THREAD NAPATA KIZUNGUZUNGU... HIVI KWELI ORDER YA KUPIGA RISASI IANWEZA KUTOLEWA KIRAHISI EH?

Mkuu mbona jambazi kombe alipigwa risasi au umesahau??...hahahah Tanzania kweli kazi.....
 
If he is real the thread OWNER, and what he says is true.... that he DID it in favor of poor Arusha citizen.... WHY NOT GOIN' to the PRESS?????????????????????????????

and IF NOT (the owner) we need EVIDENCE instead of being treated like lillte kids AND comment on this CRAP LIKE GOSSIP THREAD...

I wont be like YOU taking , things like this TOO SHALLOW.... am sure your thinking capacity, is as lower as the THREAD owne IF and ONLY IF he hasnt comply with the above
EVIDENCE EVIDENCE EVIDENCE EVIDENCE EVIDENCE what a fuc.....................????????????????????????????
 
Wapo binaadamu wenye ujasiri huu ............ lakini KAMA HUTULETEI USHAHIDI WA MAANA HAPA KUHUSU HAYO (kwenye red) mi sitakutofautisha SAAANA NA MAKAMBA na CHILIGATI ..... maana nao HUROPOKA KAMA WEWE...

EVIDENCE PLEASE , maana unazungumza maneno yenye UZITO, so usije UKAWA WEWE ndo BASILO MTEI mwenyewe hapa unataka UJENGE HESHIMA.

EVIDENCE au TUTOLEE UPUUZI WAKO HAPA

Wewe ndio toa upuuzi wako. Hapa sio mahakama. Soma na amua mwenyewe kuamini au kuacha.
 
Bangusilo Matei.

Kwa habari za uhakika zinasema alipewa amri na mkuu wake aue walau watu 5 wakati wanachi walipokuwa wamekusanyika njee ya jengo la halmashauri ni jiji. Akakubali amri lakini hakuitekeleza kwa kusema yeye ni mcha mungu na Arusha itaendelea kuwepo hata baada ya uchaguzi.

Alichokifanya mkuu huyu ni kumshinikiza mkuu wa Tume (mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo laArusha)kutangaza matokeo kabla ya saa 12 jioni la sivyo ataondoa vijana wake kwenye eneo hilo kwa watu ni wengi na hawana uwezo wa kulinda usalama kwa jiji la Arusha itakapotimu usiku.

Nasikia kwa kosa la kukataa AMRI (isiyo halali) kapelekwa benchi makau makuu kwa kosa la utovu wa nidhamu
Mkuu Kichakoro nikweli kabisa ulicho kisema hasa hapo kwenye nyekundu..
 
Kuna taarifa nilizipa kuwa katika wiki cha uchaguzi mpaka matokeo hakuna tukio la ujambazi au tukio lolote lililolipotiwa kitu ambacho ni historia kwa kwa jiji la Arusha hivyo alipaswa kupongezwa kwani pamoja na watu wengi kujazana pale manispaa hakuna mtu alie jeruhiwa tofauti na mikoa mingine mfano mbeya, mwanza nk
 
SIO siri jamaa huyu alionyesha umahiri na uongozi wa busara kutotumia nguvu siku ile. Kwangu mimi sihitaji ushahidi kujua alitumia hekima kuepusha shari kwa kuangalia tu UMATI uliokuwa umezunguka jengo la kuhesabia kura (TV station zilionyesha -live ). Enzi zile JKT, tulifundishwa kutekeleza amri halali ya Afande, ambayo anakuamrisha wewe mtekelezaji kwa mdomo; haandiki ! Kama walivyosema wengine, nampogenza RPC huyo kwa "Uongozi bora uliotukukua hasa siku ya tukio". Dua za wengi zitamlinda na kumfungulia milango mingine, kikubwa awe professional, afunge mdomo achape kazi hiyo mpya vema.
 
Inawezekana sana na sio huyo tu! Wapo wengi watakaomfuata mfano wakuu wa mikoa na wa wilaya
 
If he is real the thread OWNER, and what he says is true.... that he DID it in favor of poor Arusha citizen.... WHY NOT GOIN' to the PRESS?????????????????????????????

and IF NOT (the owner) we need EVIDENCE instead of being treated like lillte kids AND comment on this CRAP LIKE GOSSIP THREAD...

I wont be like YOU taking , things like this TOO SHALLOW.... am sure your thinking capacity, is as lower as the THREAD owne IF and ONLY IF he hasnt comply with the above


KWA NINI UNAANDIKA LUGHA USIYOIMUDU? Si uandike kiswahili TU!!??
 
Acheni ujinga, siyo kila kitu kina ushahidi wa mazingira, maandishi au picha, hii siyo mahakama. Huenda amri iliyotolewa ni ya mdomo (matamshi) tu. Labda ukamuulize Basilio mwenyewe!

Mimi namsifu afande kwa kuheshimu maadili ya kazi yake na kumheshimu Mungu pia, siijui dini/imani ya kamanda Basilio lakini inaonekana hawezi kuuwa binadamu asiye kuwa na kosa kwa utashi wa mtu mwingine. Aliyetoa amri ya kuua 5 kwa sababu ya kumuokoa mbunge wake kwa sababu wana toka dini moja, nadhani hapa kuna haja ya kuwa na mashaka na imani au dini zao kama msingi wake ni amani!

EL pamoja na ufisadi wake lakini imani/dini yake ali-iheshimu sana aka-amua kutumia njia mbadala, badala ya kuua watu live, aliona bora atumie mlungula, alikuwa tayari apoteze hata 800 millioni kwani atazitafuta zingine kifisadi fisadi.

Basilio wala asijali kwani kuna maisha hata akivuliwa unjagu, kwani siku hazigandi 2015 CDM watakurudisha kazini kwa record yako ya kuzingatia maadili ya kazi yako siyo utashi wa mtu.

............ fikra dhaifu huanzia BAGAMOYO mpaka MAJUKWAANI ....... haya mambo yanatoka wapi???? UMETUMWA NA JAMAA ZAKO???

Pili unapojadili kuhusu ishu kama hiyo, kimtazamo ni kama imeletwa hapa tuhukumu... nikiiwa na maana alifanya hivyo alafu hakuwa jasiri kuliweka wazi KWA MTU YEYOTE """ eti mpaka amekuwa quoted BAR "" akizungumza. Nakushauli FIKIRIA JAMBO KWA KINA ila kama ni mjadala yu wa kupoteza muda... oke tujadili lakini KWA UELEWA WANGU WA MASUALA TA JESHI LA POLISI HAMNA UKWELI WOWOTE KWENYE hilo kama hakuna vithibitisho....... kama ANAYO IMANI THABITI let him go to the PRESS maaaaan... Why speakin' on a snake pit???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom