Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
acha upapasi . unadanganya watu live . aliyepiga risasi ni mtu mwingine kabisa . usikurupuke tu.
Mkuu,hiyo issue ya EL imezimwa kwa mujibu wa muhabarishaj,mie nasema tu yale niliyoyasikia though i dont have evidence as most of us here....
Sikulazimishi uamini mkuu coz kama ni kweli tumekuwa shielded na hii issue Kaka/Dada.??