Wana familia kama mna ndugu walikua wanasafiri kutoka South Africa na Bus la Mkombe Luxury please jaribuni kuwatafuta mana bus limepata ajali mbaya sana ya kugongana na Lori uso Kwa uso jana Serenje Zambia.. inasemekana idadi ya vifo imeongezeka
Mbona hii habari hatujasikia popote? Wala hakuna mamlaka yeyote iliyotoa taarifa?
 
Nimeona hiyo ajari kuna mtu kanitumia video asee ni ajari mbaya sana. Upande wa dereva wote umeisha.
Ni ajali mbaya sana majeruhi wengine wamebaki hospital ya Serenje wengine walihamishwa ambao hali zao zilikua sio nzuri ila sioni Viongozi wa Nchi waliopo Lusaka kutoa taarifa kwa ndugu waliopo Tanzania maana ajali ni mbaya sana..
 
Dreva wa bus Thabo Botlele ndio jina pekee ambalo ndio confirmed dead.
 

Attachments

  • IMG-20231226-WA0118.jpg
    IMG-20231226-WA0118.jpg
    32.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom