kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 590
- 1,467
Hii imetokea leo huko Zambia. ilikuwa inatoka South Africa kuja DAR.
Duu pole Yao.Hili basi mwezi Jana lilipata Ajali na Leo tena?hii imetokea leo huko Zambia. tahadhari picha zinaogopesha.
View attachment 2853829
tatizo basi inatembea mda mrefu riski ni kubwa.Duu pole Yao.Hili basi mwezi Jana lilipata Ajali na Leo tena?
Inasikitisha sana ,pole Kwa majeruhi na pole Kwa waliofariki.
Kweli kabisatatizo basi inatembea mda mrefu riski ni kubwa.
Kuelekea wapi? Au umeshapta passport?Nilitaka nilipanda juzi pale Magufuli Bus terminal
Kwani inaelekea wapi mkuu? Kuelekea Paje na kizimkazi kwa Bi. Tozo.Kuelekea wapi?
Acha uongo, haichukui abiria wanaoshukia ndani ya Tanzania.Nilitaka nilipanda juzi pale Magufuli Bus terminal
Mkuu nimefuta nilichotuma sio ya muda ni ya leo pana truck driver kanijulisha maana eneo ilipopata ajali wiki mbili zilizopita imepata hapo hapo tena...Hii ajali ya muda chief.
we fala unazinguaKwani inaelekea wapi mkuu? Kuelekea Paje na kizimkazi kwa Bi. Tozo.
Sio ya muda wamepata ajali kweli eneo lile lile aisee pana gari imepita hapo wamenijulisha sasa hivi taarifa za hii ajali ni mbaya tofauti na ajali ya kwanza...Aisee ndugu, kama ajali ilishatokea kitambo kama wanavyosema baadhi ya wadau; kwa nini unairejesha tena jukwaani?
Lengo ni kutengeneza taharuki upya, au? Muwe mnatuonea huruma Watanzania wenzenu bhana! Mnataka tuogope hata kusafiri sasa.
Mungu wangu, hata kufungua naogopa.hii imetokea leo huko Zambia. ilikuwa inatoka South Africa kuja DAR. tahadhari picha zinaogopesha
View attachment 2853838
HahahaKwani inaelekea wapi mkuu? Kuelekea Paje na kizimkazi kwa Bi. Tozo.
Kutembea muda mrefu kama wanafuata utaratibu unaohitajika siyo tatizo. Wanabadilisha madereva ipasavyo? Wanaendesha mwendo mzuri? Bus linachekiwa mara kwa mara?tatizo basi inatembea mda mrefu riski ni kubwa.