Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,374
JF be the first to know,
Hatimaye mafuta na maji vimeanza kujitenga na ukweli unawekwa wazi ingawa si rahisi Kwa media za Bongo kupata hizi taarifa, tunazipata wa ndani tuliopo kwenye Circe za Kibaharia.
Ukweli ni kwamba kuna Watanzania watu wakiongozwa na msela Mavi mmoja wa Mbagala anaitwa Ndevu hawa ndio chanzo cha Ajali ya bus hilo kutoka Johannesburg kwenda Dar es salaam.
Kuna ushahidi wote unaowahusisha hao Watanzania watu ambao njiani Safari nzima walikuwa wanapiga mitungi na kuvuta tumbaku ndani ya gari, na ushahidi unaonesha wazi dreva alisumbuliwa kwa muda mrefu mpaka Ajali inatokea halikuwa kosa la lori bali ni bus la Mkombe baada ya dereva kubughuziwa na hawa wahuni wakiongozwa na huyu Ndevu, nitamuweka picha zake hapa hadharani maana nimejiridhisha katika hili, na kama hii haitoshi ilifikia hatua huyu Jamaa basi la Pili la Mkombe liliwafuata Zambia Selenje baada ya ajali kuwachukuwa kuwafikisha Dar baada ya kufika Shekilango Ndevu anataka kuiba begi la abiria ambaye ni marehemu, confirmed death ni watu wanane wakiwemo madereva wote wawili wa Mkombe luxury.
Hapa chini hii ni text nimetumiwa, hukumu yake tutamsomea kwenye group la WhatsApp.
KIONGOZI HILI SUALA NI SUALA LA KISHWAINI SANA. MKOMBE NDIO KATOA TAARIFA HIZI NA VOICE NOT ZA DEREVA KASEMA ANAZO MIMI KESHO NITAOMBA ANITUMIE VOICE NOT KISHA PIA NITAOMBA HUYU NDEVU TUMLETE HUMU NDANI. KWANZA TAYARI ANA CASE MOJA YA KUTAKA KUIBA BEG LA MAREHEMU YEYE NA MASELA MAVI WEZAKE. Mwisho wa kunukuu.
Picha 1 na 2 huyo ndio Ndevu kwao Mbagala na picha ya 3 ni dereva ambaye amepoteza maisha.
Cc: Pascal Mayalla
Hatimaye mafuta na maji vimeanza kujitenga na ukweli unawekwa wazi ingawa si rahisi Kwa media za Bongo kupata hizi taarifa, tunazipata wa ndani tuliopo kwenye Circe za Kibaharia.
Ukweli ni kwamba kuna Watanzania watu wakiongozwa na msela Mavi mmoja wa Mbagala anaitwa Ndevu hawa ndio chanzo cha Ajali ya bus hilo kutoka Johannesburg kwenda Dar es salaam.
Kuna ushahidi wote unaowahusisha hao Watanzania watu ambao njiani Safari nzima walikuwa wanapiga mitungi na kuvuta tumbaku ndani ya gari, na ushahidi unaonesha wazi dreva alisumbuliwa kwa muda mrefu mpaka Ajali inatokea halikuwa kosa la lori bali ni bus la Mkombe baada ya dereva kubughuziwa na hawa wahuni wakiongozwa na huyu Ndevu, nitamuweka picha zake hapa hadharani maana nimejiridhisha katika hili, na kama hii haitoshi ilifikia hatua huyu Jamaa basi la Pili la Mkombe liliwafuata Zambia Selenje baada ya ajali kuwachukuwa kuwafikisha Dar baada ya kufika Shekilango Ndevu anataka kuiba begi la abiria ambaye ni marehemu, confirmed death ni watu wanane wakiwemo madereva wote wawili wa Mkombe luxury.
Hapa chini hii ni text nimetumiwa, hukumu yake tutamsomea kwenye group la WhatsApp.
KIONGOZI HILI SUALA NI SUALA LA KISHWAINI SANA. MKOMBE NDIO KATOA TAARIFA HIZI NA VOICE NOT ZA DEREVA KASEMA ANAZO MIMI KESHO NITAOMBA ANITUMIE VOICE NOT KISHA PIA NITAOMBA HUYU NDEVU TUMLETE HUMU NDANI. KWANZA TAYARI ANA CASE MOJA YA KUTAKA KUIBA BEG LA MAREHEMU YEYE NA MASELA MAVI WEZAKE. Mwisho wa kunukuu.
Picha 1 na 2 huyo ndio Ndevu kwao Mbagala na picha ya 3 ni dereva ambaye amepoteza maisha.
Cc: Pascal Mayalla