Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,687
Gari zote tu ambazo safari zake zina wasukuma,wamangati, wamasai , watu wa tabora , kahama ,shinyanga ,dodoma kwenda kondoa......aisee hizi gari ni hazifai kunguni, chawa, mende ustaarabu zero usiombe ukabahatika kukaa siti moja na wale wavaa mashuka wananuka samli tu muda wote wanalamba ugoro. Kuna bibi mmoja alitema kohozi nje likarudi ndani siti ya nyuma yake likamnata jamaa sikioni.
Hiyo moja kioo cha dirisha hakikuepo makonda walishikilia boks kuziba upepo mwanzo mwisho.
Hizo tripu popote kambi
Hiyo moja kioo cha dirisha hakikuepo makonda walishikilia boks kuziba upepo mwanzo mwisho.
Hizo tripu popote kambi
