RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,316
- 6,598
Kuna takataka inaitwa TURU BEST... Asee one day from kahama to dom tulitumia karibu 12hrs....
🤣🤣🤣hebu acha kutuvunja mbavu 😃😃Arizona coach hili bus la kigoma nilipanda wakat naenda tabora goma linakunguni wakutosha mende mchwa na siafu halafu nilisikia abiria seat za nyuma wakilalamika wenzao wameliwa na chatu konda wala hajali wala nini
Hao wanaletwa na uchafu wa garisasa mende na hao kunguni ni wa hao wenye basi au wameletwa na abiria wenzenu?![]()
Saibana ni basi la hovyo kabisa bwasheHappy nation & Saibaba
Hii ndo story iliyoua kuliko zote...😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Zakaria Trans,Mwanza -Tarime.Bus lilikuwa poa tu ila ngumi sasa.1.Dereva v/s konda 2.Konda v/s abiria 3.Abiria v/s Dereva 4 .Konda na derevav/s abiria 5.Abiria v/s Abiria.Mwisho kabisa Sister wa Kikatoliki v/s Konda.
Hawa jamaa wana ngarangara lao moja sijui kama bado lipo, kwanza linatisha balaa ukiliangalia tuu unaweza ukakimbia 🤣.Mghamba kutoka arusha kwenda mwanza ..hii gari kama punda
Kumbe ww mjita![]()



nimechekaa had baas, hata sina utani na hilo kabilaa.😂Mbeya express
Mwanza-mbeya please Hilo basi ukiliona toroka kabisa.
Nilitoka mwanza jumamosi jioni tukafika mbeya tena uyole jumanne asubuhi.
Kapricon na majinjah walinikera mpk nilichukia safari kiasi kila alienisemesha alikutana na misonyo na macho yangu yalivyo makali![]()





Ahsanteee sanaa!!Pole sn
Kuna basi nilipanda kutoka ifakara to Dodoma, aise gari ndani Lina mifugo mingi kuliko abiria, just imagine mtu anapanda ndan ya bus amebeba mbuzi na kuku ndan ya gari,,kilicho niboa zaid nimelala usingiz kuja kushtuka nashangaa mbuzi ananilamba nywele.





jamaniiiiiSiipendii hii kampuni, japo ndo amekamata route ya Home.Super FEO ..SONGEA-MOSHI


