MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,182
Msomali kaula.siku ya kulikabizi kwa mteule mpya tutamkumbusha pia hii picha
Msomali kaula.siku ya kulikabizi kwa mteule mpya tutamkumbusha pia hii picha
Apo mpaka luku analipiwa
$75,000Hilo gari la Mhe. NWK likiwa jipya (Odo=0) linagharimu kiasi gani (TZS-CIF Daresalaam):
(a) Bila kodi (kwa wasiolipa kodi mf.Serikali,nk) na ;
(b)Likilipiwa kodi (Kwa wanaolipa kodi)
Natanguliza shukrani
Haaahaaaa...kajiachia kitambi kikubwa kama nyumba. Lazima ni mawazo na chips mayai
Wasomali wanaingiaga na yale mafiat.Daa kaingia na uber katoka na V8
kulikabidhikulikabizi
Ndani ya ccm ukitaka uishi kwa uhakika basi wewe kuwa mtu wa kusifia
Itabidi apambane kweli kweliKama alimsikiliza vyema Rais leo aelewe tu kuwa kazi aliyopewa imekaa kimtego. Michango yake bungeni ya kukosoa ndio imemfanya mkuu kumpatia hiyo kazi, na hivyo atttention itakuwa kubwa sana kwake
Mungu ambariki akafaye kazi zake vema.Jamani madaraka yanapendeza sana ndiyo maana kuna watu siku hizi wameamua kujiondoa utu wao na kuanza kulazimisha teuzi.
Huyo chini ni naibu waziri wa kilimo mh Bashe akiingia kwenye gari lake la ofisi yake mpya.View attachment 1159460
Mmawia umekula lunch ? Naona leo umeshika bango kweli , msalimie dj mwambie mbona kimya sana.Nakubaliana na wazo lako na kwa hili Kagame katuzidi pamoja na mapungufu yake maana yeye alisha piga marufuku magari ya kifahari kama haya
Million 290 kwa anayelipa kodiHilo gari la Mhe. NWK likiwa jipya (Odo=0) linagharimu kiasi gani (TZS-CIF Daresalaam):
(a) Bila kodi (kwa wasiolipa kodi mf.Serikali,nk) na ;
(b)Likilipiwa kodi (Kwa wanaolipa kodi)
Natanguliza shukrani
Kabisa !siku ya kulikabizi kwa mteule mpya tutamkumbusha pia hii picha
Haswaa..!!!Nasikia ukitumbuliwa linarudi na dereva tu. Hata kama ulikuwa ziara huko utarudi na asi li v8 hupandi tena.
Tuache utani power is sweet aisee.
Ndio. Maana huyu kachaguliwa na mtu tofauti na yule ya mwanzoSafiii, huyu atapiga kazi kabisa..!!
Safiii, huyu atapiga kazi kabisa..!!
Ulitakaa aingie guestJamani madaraka yanapendeza sana ndiyo maana kuna watu siku hizi wameamua kujiondoa utu wao na kuanza kulazimisha teuzi.
Huyo chini ni naibu waziri wa kilimo mh Bashe akiingia kwenye gari lake la ofisi yake mpya.View attachment 1159460