Kama alivyosema mpiga zumari zitto kua january alitegwa , kumbe na nyie mnamtega magufuli ashindwe kny swala la koroshow, mitego yote imejulikanaNawe mwambie mpiga tumba kuwa wakulima wa korosho na kahawa na pamba wanakufa na njaa
Kama alivyosema mpiga zumari zitto kua january alitegwa , kumbe na nyie mnamtega magufuli ashindwe kny swala la koroshow, mitego yote imejulikanaNawe mwambie mpiga tumba kuwa wakulima wa korosho na kahawa na pamba wanakufa na njaa
Mmawia hamia ccm, naona leo umekua mtetezi wa wana ccm.au nyie ndio wategaji wenyewe , tumewafehemu.Kaula kupitia kumpiga vijembe msomali mwenzake kinana
Kulikabizi=kulikabidhisiku ya kulikabizi kwa mteule mpya tutamkumbusha pia hii picha
Jamani madaraka yanapendeza sana ndiyo maana kuna watu siku hizi wameamua kujiondoa utu wao na kuanza kulazimisha teuzi.
Huyo chini ni naibu waziri wa kilimo mh Bashe akiingia kwenye gari lake la ofisi yake mpya.View attachment 1159460
Ni wivu tu unakusumbuaJamani madaraka yanapendeza sana ndiyo maana kuna watu siku hizi wameamua kujiondoa utu wao na
Kama alivyosema mpiga zumari zitto kua january alitegwa , kumbe na nyie mnamtega magufuli ashindwe kny swala la koroshow, mitego yote imejulikana
Haya mambo kutwa unapiga zumari , hata lunch hujala leo , vipi chief mmawia ? Ehe ndio kujitambua huko ?Siwezi kuhamia ccm maana najitambua
Muulize zitto ndio anajua mambo ya itegaji , kwa maelezo yake yamedhihirisha wanamtega magufuli kumkwamisha , na yeye ameshawajua.Hakuna cha mtego hapo maana korosho bado zipo maghalani ambazo ilibidi kwa sasa ziwe zipo huko kwa wanao jua matumizi yake
Wateuliwa hawana utimamu wala mikono na miguu?Mimi nina akili zangu timamu na mikono na miguu vyote vinafanya kazi
😁😁, kunya anakunya kuku akinya bata kahara? Kutegwa ategwe january ?, wengine hawategwi? Mmeshajulikana na siasa zenu za kutegana , unatamani sana teuzi , inaonekana hata dj hajakuteua, polèee.Wacha umbea wewe kama vipi nenda kalime tu wachana na habari za kutegemea teuzi
[emoji16][emoji16], kunya anakunya kuku akinya bata kahara? Kutegwa ategwe january ?, wengine hawategwi? Mmeshajulikana na siasa zenu za kutegana , unatamani sana teuzi , inaonekana hata dj hajakuteua, polèee.
Musibaeeeeeeeh huyu msomali leo kapanda cheo vipi campuni ya shemeji yake Rostam kaiendesha vizuri na kwa hili pia unaunga mkono mwenyekiti kweli Nawashauri wenzangu hata tukilazimishwa kueka bondi akili basi maneno tuekeni akiba . Bashite alisema kinana na Nape walifanya kazi ya kutukuka leo ukimuekea clip ile jela itakuhusu.Polepole lowasa hata akirudi hatumtaki leo coridoo za Lumumba shikamoo mzee.wacha tuone Musiba atasemaje kwa msomali kama alivyotuaminisha.