Bashe akijiandaa kuondoka baada ya kuapishwa

Bashe akijiandaa kuondoka baada ya kuapishwa

Hao wote ulio wataja kila kitu kwao wanasahau palepale.
Ni kwamba akili wameweka bondi kwa mwenyekiti na hata maneno hawaweki akiba hata kidogo basi ili kuweza kujinasua wanapokwamishwa na muda.?
 
Kuhusu uraia.........
IMG_20190722_223709.jpeg
 
Wanachojali ni uhakika wa kesho watakula nini na kufaidi kodi zetu kama huyo anavyo tukoga
Ni kwamba akili wameweka bondi kwa mwenyekiti na hata maneno hawaweki akiba hata kidogo basi ili kuweza kujinasua wanapokwamishwa na muda.?
FB_IMG_1563788460115.jpeg
FB_IMG_1563790106910.jpeg
 
Ngoja tuone utendaji wake, coz kwenye kuchangia bungeni alikuwa vizuri.
Hapo tayari washamfuga gavana humsikii tena akihangaika na matatizo ya wakulima na wafugaji
 
Duuu kumbe ndiyo maana kapewa shavu na mwenye kuteua maana kwa sasa rostam ni best wa mteuzi
huyu msomali cha kwanza lazma aongeze mke,maana mke wake yule husna mtoto wa Rostam azizi anaonekana kuchoka sana
 
Duuu kumbe ndiyo maana kapewa shavu na mwenye kuteua maana kwa sasa rostam ni best wa mteuzi
Ndio kiungo mchezeshaji wa Rostam, na Rostam ndio mtoto wa mjini kwa sasa baada ya Home shopping, ridhiwani, Kinje kupigwa kufuli,
bashe ndio mkurugenzi wa makampuni matano ya rostam, including SPENCON ambayo ni kubwa sana Africa, na ndiyo iliyojenga majumba ya polisi kwa gharama kubwa sana, pale oystebay, shoppers na maeneo mengine, mjini form 6 broda.
 
Naona Bashe unafiki umemlipa baada ya kuungana na Musiba
Bashe namuunga mkono na yeye bado anakinyongo kwa akina nape kinana na jk walivyomtenda lowasa kasimamia mile alichoamini alikuwa ndie manager wa kampeni wa lowasa kila mmojaanasimamia anachikuamini
 
Duuu bro hivi hapo kuna kupambana na ufisadi au ndiyo tuanaupamba ufisadi?
Ndio kiungo mchezeshaji wa Rostam, na Rostam ndio mtoto wa mjini kwa sasa baada ya Home shopping, ridhiwani, Kinje kupigwa kufuli,
bashe ndio mkurugenzi wa makampuni matano ya rostam, including SPENCON ambayo ni kubwa sana Africa, na ndiyo iliyojenga majumba ya polisi kwa gharama kubwa sana, pale oystebay, shoppers na maeneo mengine, mjini form 6 broda.
 
Kwa sasa naanza kuunganisha dots kuanzia kurudi kwa lowasa ndani ya ccm,kuibuka kwa rostam tena na sasa kupewa shavu kwa Bashe mwenye macho na atazame
Bashe namuunga mkono na yeye bado anakinyongo kwa akina nape kinana na jk walivyomtenda lowasa kasimamia mile alichoamini alikuwa ndie manager wa kampeni wa lowasa kila mmojaanasimamia anachikuamini
 
Back
Top Bottom