Bashe akijiandaa kuondoka baada ya kuapishwa

Bashe akijiandaa kuondoka baada ya kuapishwa

Hiyo ni kweli kwa 100% na viganja vyake kwa sasa vitaanza kupata malengelenge kwa kupiga makofi ya kuunga mkono kila hoja ya mbunge wa ccm
Kuna mkuu mmoja alinichekesha kwenye comment yake kwenye uzi fulani kuwa sasa Bashe ni Mgogo mzaliwa wa Mvumi Dodoma sio Msomali tena. hahahahaahahahaahahahah
FUSO
 
Je kabla hili gari lilikuwa linatumiwa na nani? Hasijeona twiga au punda barabarani. Lile la alilokopeswa wakati wa ubunge atabaki nalo? na kwa nini akuendelea kulitumia?
La kwake ni la kwake, hili jipya ni la serikali ndiyo la kutumia kwenye wizara anayofanyia Kazi, umeeelewa?
 
Nakubaliana na wazo lako na kwa hili Kagame katuzidi pamoja na mapungufu yake maana yeye alisha piga marufuku magari ya kifahari kama haya
Ilihali yeye anatumia Range Rover! Na aina nyingi za land cruiser v8's
 
Jamani madaraka yanapendeza sana ndiyo maana kuna watu siku hizi wameamua kujiondoa utu wao na kuanza kulazimisha teuzi.

Huyo chini ni naibu waziri wa kilimo mh Bashe akiingia kwenye gari lake la ofisi yake mpya.View attachment 1159460
Kapatikana huyo!!! Hapigi kelele tena!!! Raisi kamwambia aende akapractice hizo theory zake alizokuwa anazitoa bungeni. Kazi anayo!!!!!
 
Sass mkuu gari la 230ml linaweza kuondoa uhaba wa maji?
Viongozi lazima wawe na gari ya uhakika kumwezesha kukabili majukumu yake tena kwa wakati...sema hawatimizi tu wajibu wao lkn nyenzo wanazo
Aisee! Najaribu kuvuta picha katika nchi zilizopiga hatua naibu waziri akimaliza kuapishwa huwa anapewa privileges gani! Je, gari la kifahari kama hili linaongezaje ufanisi wa mwanasiasa wa kawaida ambaye jimboni mwake watoto hawana madawati ya shule na asilimia zaidi ya 70% unakuta hawana maji!

Africa inabidi kujitafakali upya kama kweli tunataka kuondoka hapa tulipo au tukubaliane na manyanyaso ya mzee Trump na wenzie.
 
Alilo kopeshwa kama mbunge hilo linatafutiwa nafasi uwani na kufunikwa kwa usalama zaidi maana sasa analo linalo tumia zaidi jasho la walala hoi
Je kabla hili gari lilikuwa linatumiwa na nani? Hasijeona twiga au punda barabarani. Lile la alilokopeswa wakati wa ubunge atabaki nalo? na kwa nini akuendelea kulitumia?
 
Ndani ya ccm ukitaka uishi kwa uhakika basi wewe kuwa mtu wa kusifia
hizo nyasi za ikulu hazimaigiliwi au mbona ni kijani mpauko.

acheni ale raha wakuu. alisawahi kuamimbiwa sio mtzz, hapa anapoza machungu kidogo ya kutaka kugeukwa na kachama.
 
Sass mkuu gari la 230ml linaweza kuondoa uhaba wa maji?
Viongozi lazima wawe na gari ya uhakika kumwezesha kukabili majukumu yake tena kwa wakati...sema hawatimizi tu wajibu wao lkn nyenzo wanazo
Mil 230????.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
kwa hadhi ya Bashe angepewa msaidizi wa kumfungulia mlango na bodyguard from Beijing..

suti INA hedhi z. ake.

na ndio maana konda,turn boy na wapiga debe wanavaa sare na sio suit
 
Back
Top Bottom