Africa is a land for unwise, ignorant crazy, corrupt and stupid people in the whole world.Aisee! Najaribu kuvuta picha katika nchi zilizopiga hatua naibu waziri akimaliza kuapishwa huwa anapewa privileges gani! Je, gari la kifahari kama hili linaongezaje ufanisi wa mwanasiasa wa kawaida ambaye jimboni mwake watoto hawana madawati ya shule na asilimia zaidi ya 70% unakuta hawana maji!
Africa inabidi kujitafakali upya kama kweli tunataka kuondoka hapa tulipo au tukubaliane na manyanyaso ya mzee Trump na wenzie.
Ulitakaa aingie guest
Hukondikooo MUNGU KAMPANGIA
MUNGU SIO ATHUMANI MLITAKA KUMWONDOLEA URAIA LEO HII MUNGU AMEMWINUA KUANZIA MWANZO MWISHOO
Bashe sio mnyamwezi lakini kazaliwa huko kwa akina Kigwa na mengi kayarithi utafikiri ni mnyamwezi, maana yangu alichokifanya Bashe ni copy and paste kutoka kwa Kigwa na kweli kafanikiwa.. ninavyomjua lazima kesho hii gari kwanza ionekane Nzega pale kijiweni stendi kwa wale vijana washikaji wake ili sasa waongee vizuri na kuwaringishia team Kigwa..baada ya hapo piga ua garagaza lazima jioni yake ikapaki pale makao makuu ya siasa za Nzega yaani "BBC" ili tu team Kigwa waone kitu kinachofanana na kile cha Bosi wao (Kahawa kama kawaida) , pamoja na yote hayo kuwa huenda wakuu wanamlia timing ili baadae wapate sababu za kumtema kutoka kwenye ulingo lakini yeye tayari keshatoa mkosi kwani tayari kauonja uwaziri kama hasimu wake Kigwa na kazi 2020 inabaki palepale.
Kama alimsikiliza vyema Rais leo aelewe tu kuwa kazi aliyopewa imekaa kimtego. Michango yake bungeni ya kukosoa ndio imemfanya mkuu kumpatia hiyo kazi, na hivyo atttention itakuwa kubwa sana kwake
Unajuwa kwa nini serikali inatumia Landcrusers? Kwa sababu barabara ni mbovu. Wanaacha kutengeneza barabara kila mwananchi akatumia wananunuwa Landcruisers wanatumia 0.0005%!Aisee! Najaribu kuvuta picha katika nchi zilizopiga hatua naibu waziri akimaliza kuapishwa huwa anapewa privileges gani! Je, gari la kifahari kama hili linaongezaje ufanisi wa mwanasiasa wa kawaida ambaye jimboni mwake watoto hawana madawati ya shule na asilimia zaidi ya 70% unakuta hawana maji!
Africa inabidi kujitafakali upya kama kweli tunataka kuondoka hapa tulipo au tukubaliane na manyanyaso ya mzee Trump na wenzie.
Life is not fair kuna siku nilimuona nape anatoka bungeni sasa hyo gari aliyopanda ni Nissan xtrail tena namba A imechoka balaa
Hilo gari la Mhe. NWK likiwa jipya (Odo=0) linagharimu kiasi gani (TZS-CIF Daresalaam):
(a) Bila kodi (kwa wasiolipa kodi mf.Serikali,nk) na ;
(b)Likilipiwa kodi (Kwa wanaolipa kodi)
Natanguliza shukrani
Ni kweli uliyoyasema, Fikiria mtu anaomba karibu milioni 200 kwa ajili ya kwenda kuona Mpira maili nyingi kutoka nchini kwake na anaporudi nchini anakuja kuomba mabati 80 kwa ajili ya kuezeka shule ya msingi jimboni kwake. Inaingia akilini kweli?
Mkuu akisoma hii massafe yako anaweza kuliacha ofisini atumie gari yake, bahati mbaya picha imeshaingia kwenye mitandao na malaika wamegoma kuifunga.siku ya kulikabizi kwa mteule mpya tutamkumbusha pia hii picha
Unatamani teuzi?Ni wakati wako sasa nawe kuanza kujipendekeza ili angalau upate uteuzi wa kuchunga wale tausi