Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,792
Nimekumbuka kale kawimbo alikotoa kipindi Roma ametekwa .. Bora nikae kimya...kweli usikae kimya ukijua wewe hayajakukuta
Huu wimbo ni balaa, haramu tamu
Kwanza angalia waliomzunguka kuanzia manager wake wote la saba. Wenzao kina Rooney la saba lakini wana wasomi wa kuwashauri. Kina David Beckham la saba wamezungukwa na watu wa maana. Kina Diamond kama kina EbuoyeTatizo hawa watoto wanakosa nidhamu ktk kiwango cha juu sana....sana sana sana,ni nani aliyekuwa anajua kama kuna siku mtu kama Manji Yusuf angawekwa gerezani kama ilivyokuwa kipindi kile?
Nani aliyewahi hata kuhisi tu kwamba hawa wawili Rugemalila na mwenzake Seth kuna siku wangewekwa kizuini pasiwepo wakuwatoa?lazima tuishi tukiangalia nyakati,sasa wakati usiojulikana ni muda gani huo?
Wanaweza kupotea kwenye ramani wajiangalie sana,kufungiwa kwao asilaumiwe mtu yeyote ni ujinga wao na utoto wanaouendekeza umewafikisha hapa.
Muingereza atakuwa amekusikia,saivi anapasha misuliBASATA WANA NYEGE
WAJE TUWASAIDIE
Ndio muda wake,azisome vzr no. TASA sasa.Nimekumbuka kale kawimbo alikotoa kipindi Roma ametekwa .. Bora nikae kimya...kweli usikae kimya ukijua wewe hayajakukuta
Hahaahaaaaa...Reasoning yako na IQ inaonyesha wewe ni ccm
Nipo hapa najiuliza, au kapiga huo wimbo kwenye show za hapa ndani..? BARUA haijajitosheleza mkuu wangudaharau gni izo n utov upi w nidham waliofnya..
kama kuandika kwenyewe kunakupa shida hivi, hata wakikueleza huwezi kuelewadaharau gni izo n utov upi w nidham waliofnya..
Ndio muda wake,azisome vzr no. TASA sasa.
Braza hatukupenda kuzaliwa nchii inayoongozwa na mazwazwaChuki na roho mbaya tu,
Atakuwa shonz.. Huyu,wapuuzi hawa
Huyo mtoto anafanya collectively ya yote wanayofanya Basata,stupid.
Kuzaliwa hii nchi ni ujinga sana.