BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Dec 18, 2018 #2 Baraza na Bodi ya Sanaa tofauti ni ipi?
T The Assassin JF-Expert Member Oct 30, 2018 4,355 17,321 Dec 18, 2018 #4 Ukiachia kuwafungia, hizi mamlaka zilipaswa kuwapeleka mahakamani. Hatuwezi kua na watu wanaodharau mamlaka zilizopo kisheria na wakaachwa. Usishangae muda mfupi ujao hawa watu wakaanza tena kufanya maonyesho, bashite akiingilia kati haichukui muda.
Ukiachia kuwafungia, hizi mamlaka zilipaswa kuwapeleka mahakamani. Hatuwezi kua na watu wanaodharau mamlaka zilizopo kisheria na wakaachwa. Usishangae muda mfupi ujao hawa watu wakaanza tena kufanya maonyesho, bashite akiingilia kati haichukui muda.
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,081 54,354 Dec 18, 2018 #5 Waende Kisutu Court Kama Hajaridhishwa Na Uamuzi
EINSTEIN112 JF-Expert Member Oct 26, 2018 21,713 35,525 Dec 18, 2018 #8 KUWAFUNGIA KUFANYA ONYESHO NJE YA NCHI BASATA WANAMAMLAKA HAYO KISHERIA?
chiembe JF-Expert Member May 16, 2015 12,009 20,683 Dec 18, 2018 #10 Mlezi aliwapiga mawingu,malipo ni hapa hapa duniani N.B Jana tu amelitukana shirika la serikali na kulidhalilisha,hajavuka mto bado!
Mlezi aliwapiga mawingu,malipo ni hapa hapa duniani N.B Jana tu amelitukana shirika la serikali na kulidhalilisha,hajavuka mto bado!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,255 Dec 18, 2018 #11 Ile video ya air tz inachangia kumgharimu.
Brown Kwacha JF-Expert Member Jul 31, 2017 299 405 Dec 18, 2018 #12 Ila wana kwa zama hizi wamesaidia kupush mziki wa Tanzania. Ni raha saana upo mbali unasikiliza redioni ngoma ya Tz.
Ila wana kwa zama hizi wamesaidia kupush mziki wa Tanzania. Ni raha saana upo mbali unasikiliza redioni ngoma ya Tz.
BOB OS JF-Expert Member Dec 11, 2011 3,427 6,786 Dec 18, 2018 #14 dah hapa naona shilawadu yote alaaaah wanavyofurahi
N nyakubonga JF-Expert Member Apr 5, 2015 4,604 7,178 Dec 18, 2018 #15 Duh itakua hatari sasa, japo dogo alizingua pale airport ila hiyo adhabu kubwa sana.
MWALLA JF-Expert Member Dec 12, 2006 16,992 10,497 Dec 18, 2018 #16 mwanamwana said: View attachment 971423 Click to expand...
Ghiti Milimo JF-Expert Member Jul 18, 2011 4,344 6,403 Dec 18, 2018 #19 chinembe said: Haya ni konki konki Click to expand... Umekuwa wa kwanza!
mkale JF-Expert Member Sep 21, 2011 1,587 1,692 Dec 18, 2018 #20 daharau gni izo n utov upi w nidham waliofnya..