kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Inaeleza kuwa wakina Diamond wamevunja Sheria lakini hakuna kitungu Cha Sheria kilichoainishwa.
Inawafungia kwa muda usiojulikana, hii ni hukumu ambayo haipo kwenye Sheria yoyote ile.
Walisikilizwa lini?
Basata wamewafungia ndani na nje, je Sheria zao zinafanya kazi nje ya nchi?
Je wamejiuliza Ni kumbi na maeneo mangapi yanapiga huo wimbo?
Dr.Tulia anajua maana ya maadili? Wabunge wetu wanajua maana ya maadili? Waliruka majoka Burundi na akuna aliyekemea
Inawafungia kwa muda usiojulikana, hii ni hukumu ambayo haipo kwenye Sheria yoyote ile.
Walisikilizwa lini?
Basata wamewafungia ndani na nje, je Sheria zao zinafanya kazi nje ya nchi?
Je wamejiuliza Ni kumbi na maeneo mangapi yanapiga huo wimbo?
Dr.Tulia anajua maana ya maadili? Wabunge wetu wanajua maana ya maadili? Waliruka majoka Burundi na akuna aliyekemea