Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,652
Najiuliza HIV inakuaje msanii Kama Rayvanny ameshindwa kumalizana na Diamond hadi kaamua kumpeleka Diamond BASATA. Hiv anadhan mikataba inaweza kuvunjwa kirahis tu na basata. Afate masharti ya mkataba basata hawataweza msaidia Kitu.
Ajifunze Kwa Harmonize mwenzake hakuhangaika na basata alilipa alichotakiwa na kusepa vyema, ikiwemo kuachiwa akaunti zake za mitandao ya jamii kama YouTube
Ajifunze pia Kwa Mavoko hta alipompeleka Diamond basata Bado akaunti yake ya YouTube hadi Leo Bado inamilikiwa na wasafi Kwa Sababu hakuheshim mkataba na ikambid afungue akaunti nyingne ya billionaire kid.
Rayvanny zingatia mkataba basata yeye ni mlezi tu hawez kamwe kushurutisha Diamond akusamehe kirahisi na ukumbuke Diamond Yuko na mtu mbad Sana Sallam Sk, so ndugu yatakukuta ya Mavoko usipoheshimu kuvunja mkataba wako Kwa mujibu wa Sheria.
Kila la heri Huko basata
Ajifunze Kwa Harmonize mwenzake hakuhangaika na basata alilipa alichotakiwa na kusepa vyema, ikiwemo kuachiwa akaunti zake za mitandao ya jamii kama YouTube
Ajifunze pia Kwa Mavoko hta alipompeleka Diamond basata Bado akaunti yake ya YouTube hadi Leo Bado inamilikiwa na wasafi Kwa Sababu hakuheshim mkataba na ikambid afungue akaunti nyingne ya billionaire kid.
Rayvanny zingatia mkataba basata yeye ni mlezi tu hawez kamwe kushurutisha Diamond akusamehe kirahisi na ukumbuke Diamond Yuko na mtu mbad Sana Sallam Sk, so ndugu yatakukuta ya Mavoko usipoheshimu kuvunja mkataba wako Kwa mujibu wa Sheria.
Kila la heri Huko basata