MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 847
Siasa ni mchezo wa unafiki. Huwezi kuwa mwanasiasa bila kuwa mnafiki au walau kuleta unafiki mara moja moja na hii ni kwa wanasiasa wote wa CCM au Chadema au Tanzania au nchi zingine. Fuatilieni sana na mniambie kama kuna mwanasiasa hata mmoja ambae hajawahi kusema au kufanya kitu contradictory.