DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,731
- 18,046
Swala ninkukataaaMbowe na Zito nani mnafiki?Mbowe alirudisha gari lakin akalichukua tena na leo anatembelea,acha propaganda
HongeraMh. Zitto umesomeka. Hongera kwa mapambano.
DMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi. Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah Juni 7 mwaka huu.
Barua yenyewe hii hapo chini
View attachment 31767