Kutokuchua posho ni msimamo wa Chadema policywise. Wanachogombea ni kuona kuwa posho za wabunge zinafutwa as a policy, lakini sioni unafiki wowote wakati posho zinatolewa kwa wabunge kwa Chadema kukataa kuzichukua. Hakuna contradiction hapo.
Jasusi ukiongelea policy hata serikali ina mpango huo wa kufuta posho na allowance luluki LAKINI haina uthubutu,na hapa tumegundua hata upinzani hamna uthubutu ukimuondoa NYEPESI.Kutokuchua posho ni msimamo wa Chadema policywise. Wanachogombea ni kuona kuwa posho za wabunge zinafutwa as a policy, lakini sioni unafiki wowote wakati posho zinatolewa kwa wabunge kwa Chadema kukataa kuzichukua. Hakuna contradiction hapo.
Mbivu gani unasubiri na hii imetoka JIKONI zinapotoka posho ?Huu labda ni uposhaji!si wapo hapa jamvini watupe ukwel tujue mbivu na mbichi!!
Kutokuchua posho ni msimamo wa Chadema policywise. Wanachogombea ni kuona kuwa posho za wabunge zinafutwa as a policy, lakini sioni unafiki wowote wakati posho zinatolewa kwa wabunge kwa Chadema kukataa kuzichukua. Hakuna contradiction hapo.
<br />kweli hawa chadema ni wanafiki huwa wanakazana kuongea bungeni ooooh sisi hatutaki posho! baadaye wana saini wanatia kibindoni, pesa pesa pesa weeeeeeeeeh ilimsaliti YESU.
Kutokuchua posho ni msimamo wa Chadema policywise. Wanachogombea ni kuona kuwa posho za wabunge zinafutwa as a policy, lakini sioni unafiki wowote wakati posho zinatolewa kwa wabunge kwa Chadema kukataa kuzichukua. Hakuna contradiction hapo.
Mbivu gani unasubiri na hii imetoka JIKONI zinapotoka posho ?
sasa we ndo unaspin,kwanini zito asisign na bado ni mbunge na yeye ni chadema? Tuwe wakweli na tutende tunachosema..kigeugeu.
kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ni kwamba chadema walishatoa maelezo ya kile wanachopinga. Ni mfumo sio particular transation. Na ilivyo sasa, uki-sign daftari la mahudhurio basi hela zinalipwa moja kwa moja kwenye account yako. Pia nadhani kuna madhara kama wabunge wote wa chadema wangegomea kuto-sign mahudhurio (mwenye uelewa zaidi asaidie hapa tafadhali). Kwa hiyo ili kuondoa tatizo lote walishauri kung'oa mti na sio kukata matawi. Na bunge ndio chombo sahihi cha kutunga sheria.
Nadhani ccm wanaweza kujaribu ku-spin hii lakini kwa kumbukumbu zangu chadema walijaribu sana kupaza sauti za kubalisha hii sheria inayoruhusu posho lakini hawakufanikiwa. Wasiwasi wangu ccm wanaweza kupoteza umuhimu wa huu mjadala kwa kusema kuwa hawa chadema nao wamepokea lakini cha msingi hapa tukumbuke kama hatutajikita kwenye kujadilikubalisha mfumo tutapotea tatizo la msingi.
<br />"Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ya mwaka 2010,chadema kilikataa posho.Kikawaelekeza wabunge wake wazipinge bungeni.Hatuwezi kuungana na wenzetu wanoziunga mkono".Alisema Marando.<br />
<br />
Hata hivyo taarifa kutoka ofisi za bunge hadi jana zionasema ni Zito Kabwe pekee ndiye mbunge wa chadema ambayea aliacha kusaini posho huku wengine wote wakitia kibindoni. source Mwananchi.-29/08/2011 page 4 <br />
<br />
UTAWATAMBUA KWA MATENDOOOO..MATENDOO