<br />
<br />
Zitto anakula posho kama kawaida wewe. Mnadanganywa mnakubali tu.
asante kwa maelezo yako mazuri..Suala la posho, pinda alihitimisha kuwa watafanya utaratibu, kwani tatizo lipo kwy daftari la mahudhulio kwani ukisign na posho lazima wakuingizie, so walichokubaliana ni kwamba watafanya utaratibu wa kutenganisha daftari la mahudhurio na la posho. Hapo ndipo unaweza kuwahukumu.
<br />Bunge ndo kikao hiki kinaelekea mwisho,<br />
Wakati linaanza iliibuka issue ya kupinga posho na watu wakajitwalia sifa za kutosha.<br />
Kwa nini CDM mmeendelea kulamba posho taratiiiiiiiiiiiiiiiibu kinyume na msimamo wenu?<br />
Hii si ni kuwahadaa waTZ?<br />
Na mh. Mbowe inasemekana lile shangingi hakurudisha kama alivotamba bungeni.<br />
Tuwaeleweje sasa?
Ebu acha kupotosha wewe hivi wewe na Mbowe nani mwenye CDM akisema kitu tukikubali? ugomvi wao viongozi wa CDM ni nini kama sio posho za bungeni!watanzania wengi bado wanapotosha swala hili ama kwa kuto kujua ama kwa makusudi issue siyo chadema kutokuchukua hizo posho chadema wanataka zifutwe kwa wafanyakazi wote wa umma bila kuwaacha wabunge..hatahivyo sasa hivi tuzungumzie matatizo yanayolikumba taifa giza, wanyama waliouzwa na kikwete warudishe nchi, hiyo aridhi mlio wauzia wa marekani kwa miaka 99 hiyo biashara hatuitaki, tunataka mafisad wa EPA wapelekwe mahakamani na siyo kujivua magamba kinafiki hapa..yapo mengi
ni wanafiki chadema hawawezi kuziacha fedha hizo"katika ilani ya uchaguzi ya chadema ya mwaka 2010,chadema kilikataa posho.kikawaelekeza wabunge wake wazipinge bungeni.hatuwezi kuungana na wenzetu wanoziunga mkono".alisema marando.
Hata hivyo taarifa kutoka ofisi za bunge hadi jana zionasema ni zito kabwe pekee ndiye mbunge wa chadema ambayea aliacha kusaini posho huku wengine wote wakitia kibindoni. Source mwananchi.-29/08/2011 page 4
utawatambua kwa matendoooo..matendoo
"Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ya mwaka 2010,chadema kilikataa posho.Kikawaelekeza wabunge wake wazipinge bungeni.Hatuwezi kuungana na wenzetu wanoziunga mkono".Alisema Marando.
Hata hivyo taarifa kutoka ofisi za bunge hadi jana zionasema ni Zito Kabwe pekee ndiye mbunge wa chadema ambayea aliacha kusaini posho huku wengine wote wakitia kibindoni. source Mwananchi.-29/08/2011 page 4
UTAWATAMBUA KWA MATENDOOOO..MATENDOO
"Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ya mwaka 2010,chadema kilikataa posho.Kikawaelekeza wabunge wake wazipinge bungeni.Hatuwezi kuungana na wenzetu wanoziunga mkono".Alisema Marando.
Hata hivyo taarifa kutoka ofisi za bunge hadi jana zionasema ni Zito Kabwe pekee ndiye mbunge wa chadema ambayea aliacha kusaini posho huku wengine wote wakitia kibindoni. source Mwananchi.-29/08/2011 page 4
UTAWATAMBUA KWA MATENDOOOO..MATENDOO