Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

Asilimia kubwa ya wanasiasa ni wanafiki wanaoongea yale wasiyoweza kuyafanya na Chadema na Viongozi wake hawawezi kuwa tofauti, kama nisivyoshangazwa na Dr.Slaa kuchukua mshahara wa kiwango alichokuwa akikipinga, sintashangazwa pia na hili ata kidogo, hii ni tabia halisi ya wanasiasa wetu...
<br />
<br />
imekuuma eeh!
 
<br />
<br />
Kweli leo umepata wafuasi wengi wenye upeo mdogo wa kufikiria why chadena and not cuf,ccm,nccr,tlp? Hii habari niyakuandaliwa kwani ofisi ya bunge toka mwenzi wa nne walikuwa wanaandaa hii taharifa kuleta vyombo vya habari ila kwa uwezo wako mdogo wa kufikiria umeshindwa kutofautisha nini maana ya daftari ya mahudhurio na posho.
Go back to school.
Simple
1.iko kwenye ilani ya cdm
2.viongozi wetu wa cdm walikuwa wakijinadin bungen na kwenye media kwamba wasingechukua posho,watanzania wote wanajua hivyo nachek evidens ntakuanikia.
3.zitto wa cdm ameafanya kwa vitendo movement ya kutochukua posho.why not others(cdm-mps)walokuwa kwenye same movement?.
4.KIGEUGEU
 
Mh.Mbunge usilaumu bure mwanachi,cha msingi we tuambie posho mmechukua ama la,na kwa nini zito asisign nyie msaini.Je hizo implication za kutokusign zinamexcude Zito?NA KAMA HIZO FOMU HAZIKUANDALIWA KWA NINI HAMKUANDAMANA ZIANDALIWE?
<br />
<br />
Sheria za bunge unazijua?

Mbunge asipohudhuria kikao mara tatu bila taarifa unajua adhabu yake?

Na ili ujulikane umehudhuria ni lazma usaini.na ukisaini ndo unakuwa umesain kuchukua hela ya cku hiyo.

Kuna kitabu cha mahudhurio na kitabu cha posho ambavo vipo tofauti bungeni??

Upupu
Na ni crap. Plz mods naomba muitoe hi Mada.
 
Hata ukiangalia ofisi ya bunge imefanya mchezo wa kisiasa kutoa taarifa hii. Ilitaka Chadema waonekane kuwa wanafiki wakati wabunge wengi wa CCM wanapinga kuondolewa kwa posho za wabunge. That should be the issue na wala si unafiki wa Chadema. Sasa suala limegeuka kuwa Chadema badala ya kujiuliza ni kwa nini CCM inashikilia wapewe posho na kwamba hizo posho hazitoshi, ziongezwe.
Nakubaliana kabisa na kauli yako hii lakini kila kitu kina sehemu ya kuanzia na chama cha upinzani kinatakiwa kuziba mianya yote ya 'bad publicity'.
 
Kweli leo umepata wafuasi wengi wenye upeo mdogo wa kufikiria why( chadena) and not cuf,ccm,nccr,tlp? Hii habari niyakuandaliwa kwani ofisi ya bunge toka( mwenzi) wa nne walikuwa wanaandaa hii( taharifa) kuleta vyombo vya habari ila kwa uwezo wako mdogo wa kufikiria umeshindwa kutofautisha nini maana ya daftari ya mahudhurio na posho.
Go back to school.[/QUOT

Chadena, Mwenzi, tahrifa! Mimi na wewe sijui nani wa kumwambia mwenzake aende shule! Shule za kata bana
 
Simple <br />
1.iko kwenye ilani ya cdm<br />
2.viongozi wetu wa cdm walikuwa wakijinadin bungen na kwenye media kwamba wasingechukua posho,watanzania wote wanajua hivyo nachek evidens ntakuanikia.<br />
3.zitto wa cdm ameafanya kwa vitendo movement ya kutochukua posho.why not others(cdm-mps)walokuwa kwenye same movement?.<br />
4.KIGEUGEU
<br />
<br />
we hata uunde sentensi zako huku unatoa chozi,sitaacha kuiunga mkono chadema,iwe kwa mema au mabaya
 
Wanasiasa kigeugeu...chadema kigeugeu...,naye mbowe kigeuge..tundu lusu kigeugeu...mnyika kigeugeu....lema kigeugeu....wenjekigeugeu...chadema..unapomwamini mwanasiasa mwishowe anakugeukia.
<br />
<br />
Jaribu kutumia akili kufikiri badala ya makalio. Sera ya chadema ni kwamba posho ziondolewe kwa wote. Tatizo unaongea utadhani una mimba changa inakusumbu. Zipo baadhi za sheria kandamizi ambazo chadema wanaendelea kuipiga vita ili zibadilishwe. Haina maana kwamba wanazikataa. Wabunge wa chadema ni almost 18 or 20 ya wabunge wote, hivyo kwa wao wenyewe kukataa posho bado isingeleta tija on expected level kwa uchumi wa nchi. Tatizo mnapenda mtukanwe ili tupigwe ban. Haki haijawahi kushindwa. watanzania wanaona. Wanafiki ni ccm na serikali yake.
 
Hiyo ni tafsiri yako na inaonesha usivyoelewa maana ya taarifa.Hata neno moja laweza kuwa taarifa hizo ni para mbili zinazojieleza.Tatizo lako unaitikadi mgando.mwandishi kasema taarifa kutoka ofisi ya bunge na si tetesi kama unavyotaka kupotosha.na taarifa imekamelika ukitaka kuikosoa tumia taarifa nyingine.pole sanaa nahisi hata hizo za kata haukupita coz hiyo ni kiswahili darasa la tatu

Itikadi za mgando ni wewe. Umgando wako ni pale unapodhani siasa za character assasinations yaani kumshinda mpinzani wako kwa kumponda kama unavyofaya hapa bado zina nafasi.

Siasa hizo ndizo mmeikuza CHADEMA bila nyinyi kujijua na mnahangaika kuvuana magamba wakati hapo ndipo penye tatizo. CHADEMA ilipokuwa haiwatishi wala hamkuwa mnaitaja.

Mgeni akija nchini akiniuliza ni chama gani kinaitishia CCM mimi nitamwambia ajiunge na Jamii Forum aangalie ni chama kipi kinaongoza kupondwa hata kwa vihoja vidogovidogo kama vyako.
 
NIKUPATEJE nakupongeza sana kwa kuwa upo makini na unachimba kwa undani zaidi. Watu wasikubali kuletewa unafiki wa gazeti wakaukubali bila kuwa na hakika. Walete nyaraka inayoonyesha kweli wote wamesaini exept zitto. Wekeni ushahidi. Nawaambien hiyo ni janja ya CCM
 
Ujue ni vyema wangekua na msimamo mmoja na kwa kitendo hicho kwel hawajatenda haki kwan wameangalia maslahi yao binafsi.pia wameweza kuziilisha kuwa wazo la kufuta posho halikukubaliwa na wote ila walikubaliana kwa shingo upande.congratuation kwa zito
 
Simple <br />
1.iko kwenye ilani ya cdm<br />
2.viongozi wetu wa cdm walikuwa wakijinadin bungen na kwenye media kwamba wasingechukua posho,watanzania wote wanajua hivyo nachek evidens ntakuanikia.<br />
3.zitto wa cdm ameafanya kwa vitendo movement ya kutochukua posho.why not others(cdm-mps)walokuwa kwenye same movement?.<br />
4.KIGEUGEU
<br />
<br />
Je wajua kwa nini wamezungumzia kitabu cha maudhurio kama evidence ila umejiuliza izo pesa zmekwenda wapi? Zito amekataa kuelekezwa ktk Account yake ila bunge likakataa then ikipita siku tatu bila kusaini daftari la maudhurio kinachofuata ni adhabu je Zitto kapewa adhabu? Kama wewe ni great thinker dadavua hoja yangu.
 
mnampongeza Zitto kwa lipi na kuwaponda wabunge wengne wa cdm?
Wana Jf sheria za bunge znasema usipoudhuria ktk vikao vya bunge mara tatu mfululizo kuna adhabu itachukuliwa. Zitto hajasaini kitabu cha maudhuria ila mpaka bunge linaisha tarehe 26 hakuchukuliwa hatua. Je ni kweli Zitto hajasaini?
 
Ok, hao ccm mbona hawakumfukuza huyo zito kwa kutosaini hiyo attendance register?
 
Huo ndo mwisho wako wa kufikiri?we ni wale wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama wa namna hiyo hawako ccm hata cdm na kwingineko,.jibu hoja:unapinga posho kisha unaichukua,just use at least a standard one common sense utaona aina gan ya siasa tuliyonayo tanzania.
Lete uthibitisho wa Madai yako, huna Benchmark,sasa sie tukuamini vp,au unafikiri kila mtu anafikiri kwa Kutumia Makalio kama Wewe na Chama chenu
 
Watu wenye akili na wanalengo la kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi hupingana na mfumo mubovu na sio watu fulani fulani katika jamii......Kwa hili na chelea kusema ambao hawachukui posho za vikao vya bunge wanatatizo lamsingi.
 
For some reason I just think Zitto is not serious or sincere with this and he is just trying to score some political popularity points.
<br />
<br />
zitto kidume na ndiye kiongozi wa upinzani bungeni.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Je wajua kwa nini wamezungumzia kitabu cha maudhurio kama evidence ila umejiuliza izo pesa zmekwenda wapi? Zito amekataa kuelekezwa ktk Account yake ila bunge likakataa then ikipita siku tatu bila kusaini daftari la maudhurio kinachofuata ni adhabu je Zitto kapewa adhabu? Kama wewe ni great thinker dadavua hoja yangu.
<br />
<br />mkuu ni mbunge anaadhibiwa kwa kukosa mikutano mitatu mfululizo,si siku tatu.
M
 
Mh Regia Mtema,Mnyika,Zitto!mara nyingi mnakuwepo hapa Janvini!Twambie mmechukua,au ni uzushi,na ni km mmechukua ni kwa misingi au mantiki zipi1
 
Mwenyekiti wa CDM alisema wabunge wamekuwa wakilipwa mishahara kwa mwezi pamoja na fedha za kujikimu (per diem) wanapokuwa nje ya majimbo yao yao kikazi na kwamba wanachopinga ni "posho za vikao" (sitting allowance) ambazo ni kikwazo cha utekelezaji wa kazi za serikali na majukumu mengine katika ofisi za umma.

Alisema utoaji wa fedha za vikao uliasisiwa na bunge na umesambaa taratibu katika taasisi nyingine za umma na kusababisha watendaji kutunga semina na vikao vingi alimradi wanapata posho huku kazi nyingine zikiendelea kulala.

Kwa mfano, mimi ni mjumbe wa kamati ya uongozi (ya bunge), nasaini sitting allowance katika kikao cha bunge, nikiitwa katika kikao cha kamati ya uongozi nasaini tena sitting allowance na hata kama kutakua na kikao kingine jioni naweza kulipwa, sasa kama huo siyo wizi ni nini?

Huu ni wizi wa fedha za umma ambao umetaasisiwa na sasa unaathiri utendaji katika mfumo mzima wa serikali, si fedha tu kwani hata kazi zinalala kwani watendaji wote wanakimbilia kwenye vikao vya kutunga kwa sababu kuna posho na si vinginevyo.


 
Back
Top Bottom