Join Date : 17th May 2011
Posts : 278
Thanks 3
Thanked 19 Times in 16 Posts Rep Power : 21
Umetumwa? Au ndio wale wale wa jamaa yetu, huyu kama sio Chiligati basi ni Ndugai.
Isingewezekana watu wote CHADEMA wasimame mwembeyanga na kutaja list of shame. Hapa siyo kutaja hapa ni msimamo wa Chama. Nilitegemea Zitto kama Naibu Katibu Mkuu na Waziri Kivuli wa Fedha aseme kwa niaba ya Chama na si kwa niaba yake binafsi.
tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania
Kimsingi Mh Zitto hajajitoa kwenye posho hizi kwa kuwa itabidi awe anazisaini yeye pale ofisi ya Bunge halafuanazie llekeza huko anakotaka ziende. Angeziacha zirudi serikalini ili zinufaishe Watanzania wote kwani tangu zamani anauchangia mfuko huu.
Yeye kama waziri kivuli wa fedha anatakiwa aonyeshe mfano na ndicho alichokifanya. acha upumbavu usifikiri kwa kutumia makalio. bahati yako leo nimekunywa supu otherwise ningekutukana.Hiyo ni sera ya Chadema ya kupinga posho. Lakini yeye akataka sifa zote za chadema apate yeye. Ubinafsi mtupu.
holy c_r_p!tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania
tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania
Zitto alisema anaamini kuwa watumishi wa Serikali na wabunge, hawastahili kulipwa posho wanapohudhuria vikao rasmi vya uwajibikaji wao wa kawaida.
Zitto alisema kuwa posho hiyo haistahili kulipwa kwake, wabunge wengine wala watumishi wa umma kwa kuwa kuhudhuria vikao ni sehemu ya kazi zao.
"Kwa mujibu wa Sheria ya Utawala wa Bunge (National Assembly Act of 2008) na kwa mujibu wa Masharti ya Kazi za Mbunge niliyokabidhiwa, ninastahili kupata posho za vikao, (sitting allowances) kila ninapohudhuria vikao vya Bunge na Kamati zake,"alisema Zitto na kuongeza:
"Ni imani yangu kuwa posho ya kikao haistahili kulipwa kwa mbunge na mtumishi mwingine yeyote wa Serikali kwani kuhudhuria kikao ni sehemu ya kazi yangu,".
Kupitia barua hiyo, Zitto ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Fedha, alieleza kwamba amekuwa akipendekeza posho za vikao hivyo ifutwe, jambo ambalo pia limo katika mapendekezo ya chama chake (Chadema) katika Bajeti ya 2011/2012.
"Nimekuwa nikipendekeza kuwa posho hii ifutwe. Chama changu cha Chadema pia kimependekeza jambo hili katika mapendekezo yake ya Bajeti 2011/2012," alisema Zitto na kuendelea:
Mkuu ni kweli hapa kuna tatizo. Kuna tatizo la umaarufu wa mtu mmoja mmoja badala ya umaarufu wa Chama. Kama ni uamuzi wa Chama na unatekelezwa na Zitto tu basi kuna shida. Tatizo ni kwamba humu ndani tunataka kujifanya ni Mbuni hasa linapokuja suala la kujadili matatizo ya CHADEMA. Haiingii akilini kwamba Zitto peke yake ndio atekeleze maamuzi ya Chama tena kwa kujipigia pasi eti pesa ziende KDI.
Wako wapi wabunge wengine wa Chadema? Zitto sasa ndio shujaa wa Chadema kwa kukataa posho wakati akina Joseph Selasini, Joseph Mbilinyi na kadhalika wanazichukua. Tuangalie mambo kwa mioyo iliyopondeka ni kuangalia kwa ukengeufu wa mawazo.
Kwa hili la posho tuangalie muda si muda patawaka mioto kama si moto
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi.
Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah Juni 7 mwaka huu.
wewe mwana cdm kabisa tena nakujua, angalia sana upuuzi na unafiki huu utakuumbua ukibisha nakulipua shenzi kabisa/na mwngine viti maalum anatabia hii subirini tu dawa yenu inakuja, nawaengea muda nitawaweka hewani hivi karibinu, jamani wala hawa sio wanamagamba ni wanachadema majuha.
Kimsingi kutokea Zitto atoe tamko hili watanzania wote tulimuunga mkono, kutokana na uchanga wake hakutambua kuwa kukataa posho na kuagiza ziende mahali ulipona maslahi napo ni sawa na kuchukua posho hizo. Hiyo hain tofauti na kauli ya Mhe JohnChiligati kuwa juwa wanchukua posho hizo kwa ajili ya kuwasaidia kutatua shida za wananchi. Mimi sina shaka kuwa chini ya mfumo uliojengwa na CCM mbunge anajigeuza TM kwa nia ya kuwapa wananchi rushwa. Ni kwanini yeye ageuke ATM ilihali wajibu wake wa kwanza kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania Ibara ya 63 (2) Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii. Hapa kuna walakini!!!!!
Zitto anatakiwa kufanya jambo moja kukataa posho hizi moja kwa moja akionyesha kuamini katika kile alichotamka na anachotegemea kutusomea katika bajeti kivuli halafu aendelee kutimia wajibu wake kama mbunge wa kuisimamia Serikali ili ikusanye mapato na kuyatuamia vyema ili hatiamye maendelo ya taifa zima yapatikane na sio kuwa kinara wa jimbo moja moja. Suala la kusukusua kwa wabunge wengine wa CDM katika kuzitema au kuendelea kuchukua posho hizi si la Zitto ni juu yao wenyew, lakini naweza kutabiri pasipo shaka yoyute kuwa suala hili litachangia sana katika hukumu ya wananchi 2015.
Katika hili tunatarajia leadership ya Katibu Mkuu Dr Slaa, ikumbukwe ana wajibu "to keep his house in order" sio kutaka nyumba za majirani ziwe in order tu.
jifunze kuandika weye au we ni mesenja wa magamba.uhu ndo upumbavu siwez kukubaliana na mawazo mfu yako.mtoriii au matopenaomba nieleweke,kususia posho inamsaidia nini???maaana yangu hizo posho ange bypass ziwaendee familia zilizo maskini kabisa kwenye jimbo lake,nafikiri ni usahuri wa maanatatizo lenu mnapenda kukurupuka na kuunga mkono kila jambo hata kama ni upumbavu!
Nyota njema imeangaza!
kamahuyo Ndugai alitania kuwa waanze upinzani kuachia posho, haya sasa kaaazi imeanza!
Na wewe tuachie kelele kama unawafahamu wataje na uwe na evidence za kutosha usikute na wewe umetumwa na NAPE.jamani hawa wanaoponda sio magamba wa ccm ni wana cdm ninaowafahamu tena wengine ni wabunge kabisa..........nipeni muda nitawapa maina yao. yani huu ni unafiki wa juu sana, subirini muone kama nao wataiga kuondoa poshp zao.