Barua: Zitto akataa posho za vikao

Barua: Zitto akataa posho za vikao

tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
wewe si ni mbunge wa chama la magamba? kwana unatakiwa uwepo bungeni ss ivi
point zako ni too low
 
naomba nieleweke,kususia posho inamsaidia nini???maaana yangu hizo posho ange bypass ziwaendee familia zilizo maskini kabisa kwenye jimbo lake,nafikiri ni usahuri wa maana
tatizo lenu mnapenda kukurupuka na kuunga mkono kila jambo hata kama ni upumbavu!

Hivi kazi ya mbunge ni kugawa posho yake kwa wananchi wenye shida? Yaani katika mambo yoote wewe umeona kuwa hili ndio la maana??
 
naomba nieleweke,kususia posho inamsaidia nini???maaana yangu hizo posho ange bypass ziwaendee familia zilizo maskini kabisa kwenye jimbo lake,nafikiri ni usahuri wa maana
tatizo lenu mnapenda kukurupuka na kuunga mkono kila jambo hata kama ni upumbavu!

Huyu sijuhi kabila gani!
 
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuiomba isimamishe kumlipa posho zake zinazotokana na vikao vya Bunge kuanzia juzi.

Zitto ametoa ombi hilo kwa barua rasmi aliyoiwakilisha kwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah Juni 7 mwaka huu.

safii sana nimefurahishwa na hilo,sio maneno tu na vitendo pia,good starts Mh zito
 
Kimsingi Mh Zitto hajajitoa kwenye posho hizi kwa kuwa itabidi awe anazisaini yeye pale ofisi ya Bunge halafuanazie llekeza huko anakotaka ziende. Angeziacha zirudi serikalini ili zinufaishe Watanzania wote kwani tangu zamani anauchangia mfuko huu.
 
Hiyo ni sera ya Chadema ya kupinga posho. Lakini yeye akataka sifa zote za chadema apate yeye. Ubinafsi mtupu.
 
Tall order for CDM MPs to follow suit! Hongera Mkuu, ila naona umewatega wenzako wakina Mbowe.....watakuwa wanakulaani chinichini!
Umepiga bao la kisigino! Tuone wafuasi wao watasema nini leo!

Mkuu Jesuit hivi ukiandika post ambayo ni objective bila kuwa na mlengo wa ligi utapungukiwa nini. Ni uamuzi wa Zitto kufanya hilo alilolifanya na anapaswa kupongezwa kama Zitto, akina Mbowe na wafuasi wao wanaingiaje hapa.

Kamwe hutaweza kugrow your mental facultiies kama kutapenda kuwa objective, balanced and sincere.
 
Zitto huo ndio uzalendo na ni wachache wenye moyo kama wako, kwani wengi waliomba Ubunge kwa kutegemea posho hizo ambazo unapigania waziache na kwa mtindo huo hatutawaona wanataaluma wakienda majimboni kugombea ubunge na kuacha taaluma zao kwani itakuwa hailipi. Mwanzo mzuri tumuunge mkono wote kwa ujumla wetu na wabunge wengine pia fuateni nyayo za Zitto msione aibu, ila kama ulipata ubunge kwa kununua nadhani itakuwa ngumu kumuunga mkono Zitto kwani mtaji bado haujarudi na wako wengi wa stahili hiyo. Tutasikia wakimsemanga tena ndani ya bunge mlemle wasivyo na aibu.
 
mtorii ur missing the point, the protest ni kwamba posho is an extravagant which is unnecessary. The act of refusing it is a strong statement sasa tena kama akisema either apelekewe bibi yake au kwenye jimbo lake the ethical judgment depends on the observer.

Hila the act of refusing posho in the first place justifies his argument wabunge hawahitaji kupewa as they can survive without it na hii ndio concern yetu wengi.

I hope ya malazi aikatai.
 
tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania


Mtorii,
Ukiamka uwe unapiga mswaki kwanza sio unakurupuka tu na kuanza kuandika coments zenye harufu chafu kama Mtori uliolala.
 
Unafiki uko wapi wakati ameshaelekeza mahali kwa kwenda hizo posho, au unasoma habari nusu nusu, acha kukurupuka, soma habari mwanzo mwisho sio heading basi unaanza kuchangia.


tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
 
siyoni unafiki wowote hapo,wewe toa ushauri zaidi kama ulivyo fanya ushauri wako ni mzuri,ila inaonekana ulikuwa na jazba wakati wa kuandika ndo maana umekosea maneno mengine,pungunza jazba ulinde heshima yako,
 
Kimsingi Mh Zitto hajajitoa kwenye posho hizi kwa kuwa itabidi awe anazisaini yeye pale ofisi ya Bunge halafuanazie llekeza huko anakotaka ziende. Angeziacha zirudi serikalini ili zinufaishe Watanzania wote kwani tangu zamani anauchangia mfuko huu.

Suala sio kusaini yeye mzee... Suala ni kuziondoa kwenye umiliki wake binafsi, na kuzipeleka kwenye umiliki wa taasisi inayohudumia watu. NGOs zinakuwa audited, so haijalishi kama amesaini yeye au amesaini nani. Kusema angeziacha zirudi serikalini eti "zikanufaishe Watanzania wote!!!..." najiuliza mara mbili kama ulipendekeza hili ukiwa na nia ya dhati, au kiushabiki...
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Hiyo ni sera ya Chadema ya kupinga posho. Lakini yeye akataka sifa zote za chadema apate yeye. Ubinafsi mtupu.

Mbona mnakuwa wakali hivyo? Yeye ameshasema posho zake zielekezwe kwenye charity group zinazotoa huduma kwa mkoa wa kigoma na akashauri wabunge wenzake wa chadema wafanye hivyo kama serikali haitakubali pendekezo la kuondoa posho za vikao, sasa kutaka sifa na unafiki vinatoka wapi?
 
siyoni unafiki wowote hapo,wewe toa ushauri zaidi kama ulivyo fanya ushauri wako mzuri,ila inaoneka ulikuwa na jazba wakati wa kuandika ndo maana umekosea maneno mengine,pungunza jazba ulinde heshima yako,

Inawezekana ni mbunge magamba
 
naomba nieleweke,kususia posho inamsaidia nini???maaana yangu hizo posho ange bypass ziwaendee familia zilizo maskini kabisa kwenye jimbo lake,nafikiri ni usahuri wa maana tatizo lenu mnapenda kukurupuka na kuunga mkono kila jambo hata kama ni upumbavu!
Hahahaha mtori umekua KIBURUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU Wachaga hawapo kama wewew!!!!!! WAnaku-USE WEWEEEEE
 
Back
Top Bottom