WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi, huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa, ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao?
Narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa Watanzania.
Jamani, sio nyinyi mliokuwa wa kwanza kumtaka aziache hizo posho? Kaziacha imekuwa maneno!
Hata nyinyi acheni unafiki