tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
Hahahaha mtori umekua KIBURUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU Wachaga hawapo kama wewew!!!!!! WAnaku-USE WEWEEEEE
tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
tena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
Unamtusi bule Mh Zito,kwani alikifanya kama kitafuatwa na wabubge wote kunapesa nyingi sana zitapatikana na kama tukiamuwa kuzipeleka hizo pesa ktk sehemu fulani yenye tatizo zinaweza kusaidia kuliko kumpa mtu mmoja mmoja na hazita msaidia chochotetena unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machoni pa watanzania,,leo kuna familia ngapi
huko jimboni mwako maskini wa kutupwa
kwa nini usingepeleka hizo posho moja kwa moja kwenye familia maskini kabisa
ili ziweze kuwasaidia kwa sababu ni pesa zao
narudia huo ni unafiki wa kutaka kuoneka mzuri machani pa watanzania
Hapo umenena!kuna jambo linanichanganya hapa,huko kwao kigoma tunajua maendeleo yako nyuma sana,kwa nini aache posho badala ya kuzielekeza kwa familia maskini huko kwao???huo ni unafiki usio na maanawa kutaka kuonekana mzuri machoni pa watanzania
Tatizo wewe una ufinyu wa mawazo! Fikiria impact ya hili jambo alilolifanya Zitto kwa wabunge wengine wa CDM!Mwehu wewe! mpaka usikie Mbowe na Lema wameandika barua ndio utawasifu. Shame on u KIBARAKA.
Ni vyema ukatambua siku zote dhana ya mapinduzi ya kweli huanzia kwa mtu mmoja na baadae inaspread zaid kwa watu wengine. huwez ukategemea group mindset kila wakati ili ufanikiwe. Kwani wakati Dr.Slaa anataja list of shame wa EPA etc ulitaka Cdm wote nao wawataje wakati huo huo. nasema Cdm differ 4rm magamba.
naomba nieleweke,kususia posho inamsaidia nini???maaana yangu hizo posho ange bypass ziwaendee familia zilizo maskini kabisa kwenye jimbo lake,nafikiri ni usahuri wa maana
tatizo lenu mnapenda kukurupuka na kuunga mkono kila jambo hata kama ni upumbavu!
zitto huyu jamaa anafaa kuwa rais wetu 2015
wee mzee nilikuwa naheshimu sana comment zako lakini kumbe na wewe ni mkurupakaji