Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Kweli kabisa!! Na hicho ndichi Zitto alichofanya. Halafu hpa ndani mijitu inampongeza tu bila hata kuthink big
Ukweli zitto kathubutu kuna tofauti ya zitto kupokea pesa zake na zitto kusema pesa hizo mpe muhasibu wa NGO yangu . Zikishaingia KDI ni pesa ni ya NGO. Na NGO zinakuwa audited na zinakuwa accountable.
Sina uhakika kama kweli NGO hiyo ni yake lakini hata kama myonge myongeni haki yake mpeni