Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,900
Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
You mean muamerica apate hasara ya kiuchumi kwa kuiwekea vikwazo tz?! uuuh!Ww nawe ni mshamba kwani unadhani Kuna lipi la kukufurahisha limetokea? Mbona kawaida sana Mheshimiwa aliwasoma mapema ndio maana alikuwa hasafiri hawawezi wakaweka vikwazo vya kiuchumi maana wamewekeza vyakutosha watakaopata hasara ni wao
ENDELEENI KUJIFARIJIBaada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
Endelea Kupiga Ramli ila Ukweli Mnaujua na Uhayawani wenu huo.Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
Hizi zinaitwa RAHA ZA JEI efu
Jr
Watanzania wengi wanajua kwa uhakika Makonda ni mtekaji, mtesaji na muuaji asiyeguswa na mamlaka na hivyo kuonekana labda anatumiwa au anatumwa na mamlaka iliyomteua. Hizi ngonjeara za makinikia Mara ushoga kuhusu huyu muuaji hamtudanganyi maana tulitegemea mamlaka za ndani zifanye hii kazi lakini zimeendelea kubariki matendo uake. Acha wazungu watusidoe.Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
Tatizo hajui lugha ya kiingereza kwa hiyo anaona aibu kwenda huko duniani.Mheshimiwa aliwasoma mapema ndio maana alikuwa hasafiri
Wakati huo wewe na mashoga wenzio mnahamia huko mkauze VIZURI au mnaendelea kuwa ndani ya mipaka yetu.Uongo wenu hatimae umefikia mwisho sharubu za Simba huwa hazichezewi Mungu mbariki Tundu Lissu na Zitto Kabwe
Tulieni mshughulikiwe na huu ni mwanzo tu
Kwani zile Trilioni 400 wamelipa? Hata Mkienda Canada na USA ishu za makinikia huwezi kuzifahamu na hautojua kama unaibiwaBaada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
Heeeer!!! Kweli akili za kushikiwa ni shida, yaani watakaopata tabu ni wao tena? Kwani kama yeye hasafiri hao wasaidizi wake si kila siku tu nawaona wanamuwakilisha? Wanapokunyima misaada kama hiyo ya WB, wanaopata hasara ni wao?, wakijitoa kufadhiri ARV, watakaopata hasara ni wao? Jana tu wamekupa msaada wa vifaa vya kijeshi, wakiwapa nchi nyingine, na kukunyima wewe, watakaopata hasara ni wao? Pesa za misaada wanazotoa nazo wakizizuia wanaopata hasara ni wao?!!! Wahindi ndio wanunuzi wakubwa wa korosho, inaweza ikawekwa fitina kwenye korosho, usimuone hata mnunuzi mmoja anayekuja kununua, huyo macho madogo(mchina) kwa USA, hana lolote, kwamba ugombane na mabeberu eti atakusaidia!!Ww nawe ni mshamba kwani unadhani Kuna lipi la kukufurahisha limetokea? Mbona kawaida sana Mheshimiwa aliwasoma mapema ndio maana alikuwa hasafiri hawawezi wakaweka vikwazo vya kiuchumi maana wamewekeza vyakutosha watakaopata hasara ni wao
Lis na Zit historia ya usaliti haitowaacha salama kabisa, wao na vizazi vyao wataishi kwenye black book as long as taifa linaishi.Uongo wenu hatimae umefikia mwisho sharubu za Simba huwa hazichezewi Mungu mbariki Tundu Lissu na Zitto Kabwe
Tulieni mshughulikiwe na huu ni mwanzo tu