Ben T
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 245
- 263
Mwenye akili hasifii ujinga.kuna wehu wengne wanacfu sn kazi ya hyu babu hao completly ni wapanda daladal na ht ndoto za gari kw fikra zao potofu naona waendelee kulala huenda wakamalizia kuota.mkuu hamna cku nlokacrika km nilivyotoka cnza najua naingia mabibo sokoni one tme afu naendelea na mambo mengne nikajikuta turn yangu ni kituo kabla ya usalama imagne km c umaskin wa fikra ni nn vp km ingekuw ni mgonjwa anatok one way kuelekea pengne?ilichukua miezi na miezi kufungua hko kanjia still ni worse.
Usitukane wengine kwa kuwa Mungu amekujaalia kupata hicho kijigari chako cha Tshs Milioni 3 si wote wenye uwezo huo! pia Watanzania ndio wanaongoza kuwa na madereva wasio na ujuzi pamoja na Leseni haza wewe Leseni hauna na ndiyo maana ajali nyingi huwa zinatokea Dar kwa kutozingatia sheria za Barabarani kila mtu mwenye kijigali anataka kuwahi tu matokeo ndo hayo. Watanzania wenzangu pia tujifunze kutumia usafiri wa umma wenzetu wazungu wanafanya hivyo baada ya kubaini kuwa ni hasara kubwa kila mtu anaeenda Mjini kutumia usafiri binafsi ila sisu tunasikia fahari kwenda na IST yako Ofisini ili kila mtu akuone kuwa unausafiri wakati unaishi nyumba ya kupanga na kila siku unanyanyasika kwa jambo hili. Pia wakazi wa Dar hawana utaratibu wa maisha kwa utafiti uliofanyika Wakazi wa Dar wanaongoza kwa kuchafua mazingira na mifuko yao ya Rambo kwa kuitupa kila sehemu bila kujali na hasa kwenye mito jambo ambalo si sahihi, pia Wakazo wa Dar wanaongoza kwa kulalamika na kujiona wao ndo Tanzania ila wengine si Tanzania acheni tabia zenu za ajabu ajabu!