Chanzo cha ajali ni Ubovu wa Barabara!

Chanzo cha ajali ni Ubovu wa Barabara!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,147
Reaction score
26,477
Haijawahi kutokea "mamlaka " ikasema chanzo cha ajali ni miundombinu ya barabara kuwa mibovu.

Mitaani na barabara kuu, TANROAD wanapata hela kutoka mafuta tunayoweka kwenye magari, yet hawazibi mashimo.
Mitaani wanaweka bumps, lakini hawaweki alama, ajali za kupinduka.
Madaraja membamba na kwenye miteremko, hawajali.
Mataa hayawaki barabarani kama Morroco, Biafra, Mwenge, watu wanapiga ajali kila siku, hakuna anay
 
Back
Top Bottom