Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
HahahaAre u stupid ore a complete moron ?
HahahaAre u stupid ore a complete moron ?
Ata uwe nani ukizaliwa "kanda ya matetemeko" ukija mjini lazima utakuwa limbukeni na mshamba tu..ndio kinachomsibu Mtukufu atakaa sawa tu.. time will tellYule jamaa kachanganyikiwa haelewi anachotakiwa kufanya kwa sababu ya kukurupuka na kujifanya mjuaji wakati hajui lolote
Mjini si kaja zamaniAta uwe nani ukizaliwa "kanda ya matetemeko" ukija mjini lazima utakuwa limbukeni na mshamba tu..ndio kinachomsibu Mtukufu atakaa sawa tu.. time will tell
Mkuu ule mweleka wa sukari ulikuwa mbaya.. yaani Bwana Kassim ndio alitia huruma jioni moja anatangaza serikali imeingiza sukari wakati sisi tupo bandarini hatukuona huo mzigo, ule ugawaji wa sukari kwa mikoa sijui uliishia wapi..Tokea siku ile nilimdharau sana Ndugu Kassim Mjaaliwa nikajua hatuna mtuNina hamu hata nimsikie akitamka neno Bandari tu, hivi karibuni. Maana hata neno Sukari silisikii tena kinywani mwake, japo hali bado ni mbaya mtaani bei ni kuanzia 2500 na kuendelea.
Ndugu Kassim Mjaaliwa mara nyingi huwa hajui anachoongea.. alisema atakuwa Ubuyu City mwezi wa nane hadi leo yupo mjini anaweka foleni tu.. kuongea bila ya kufikiri kwanza ni jambo baya sanaPM amesema wamekutana na serikali ya DRC na imewahakikishia kuwa mizigo yote itapitishwa hapa huku wakisahau kuwa serikali sio inayoamua mizigo ipitie wapi bali ni wafanyabiashara binafsi! Bahati mbaya sana karibia ya 70% wafanyabiashara wa TZ sehemu anayobanwa kulipa ushuru stahiki si rafiki kwao!
IN MAANA WAZIRI MKUU ALILIDANGANYA BUNGE HIVI MAJUZI ALIPOTOA SABABU ZA KUPUNGUA KWA MIZIGO BANDARINI KUWA NI UCHAGUZI NCHI ZA ZAMBIA NA CONGO.
MSIKILIZE HAPA:-
Sio kama kanuna, sura yake ndo ilivyo.[emoji12] [emoji12] tatizo ni lugha ngumu wanazotumia hata sukari mpaka leo imeshindikana kushuka bei jambo LA kwanza ni kukaa NA wafanya biashara kuongea nao mkubaliane si kuwabeza NA kuitumia lugha za ajabuajabu nguvu itumike pale tu inapohitajika
Umekosea sukariSio kama kanuna, sura yake ndo ilivyo.
Hata penseli inakuwa na ufutio pale unapokosea unafanya masahihisho. Wewe pia ukikosea hatukuchukii tunakukumbusha unajirudi na maisha yanaendelea.
Yeyote atakae nikwamisha nitalala nae mbele...Umekosea sukari
Umekosea tena NA tena
Ulimi ni kiuno kidogo sana unaponza kichwa [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Political/ leadership maturity....Ahahaha,
"utu uzima wa kisiasa unaitwaje"
Ulimi si kiuno, ni kiungo. Kiuno kinaanzia mwisho wa tumbo kushuka chini kidogoUmekosea sukari
Umekosea tena NA tena
Ulimi ni kiuno kidogo sana unaponza kichwa [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]