Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Kufanya hivi ni upuuzi kiwango cha lami ni kutengeneza makundi, hivi hawa washauri wa bob wanatoka sayari gani
Kama ni kweli hili litakuwa kundi untouchable!
Kinachitakiwa ni kuweka mazingira rafiki kwa biashara
Uaminifu
Wepesi wa nyaraka
Uhakika wa kutoa mizigo kwa wakati
Kupunguza mlolongo wa kodi kwa ajili ya kuvutia wateja wengi zaidi
Bandari kufanya kazi 24/7 kwa shift
Nk nk
Yule jamaa kachanganyikiwa haelewi anachotakiwa kufanya kwa sababu ya kukurupuka na kujifanya mjuaji wakati hajui lolote
 
Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
 
There's no way tunaweza kuafuata wakwepa kodi... umesikia vibaya mleta mada!! Hao Wakwepa kodi wakubwa, (in Kassim Majaliwa's voice) ndo wameanza kujipendekeza kwetu... nchi zao zimeandika barua wanaomba waje kutumia bandari ya Dar es salaam!! Tumeweka historia Tanzania, wafanyabiashara wa nje kupitia zao wanatuomba watumie bandari yetu!!! Walikimbilia Msumbiji; wakadhani tungewabembeleza... tumewakazia vile vijitalii vizungu vimaskini maskini halafu tuwashobokee hawa Wamatumbi wenzetu??!! Na tushawapelekea ujumbe; barua zao tumezipata lakini wasitushinikize kuwajibu leo wala kesho... wakiona tunachelewa; wakatumie hata bandari ya Angola; hatubabaiki!! Kwanza bandari haikuwa priority yetu; kipaumbele hapa ni viwanda!
 
Hizi ndo hasara za kutoa kauli za kukurupuka hakuna nchi inayoendeshwa bila kukaa vizuri na wafanyabiashara wangendelea na kiburi chao waone.
 
Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
Kumbe kule Mombasa, Beira na Durban wanatudanganya meli zimeongezeka kumbe zimepaki tu hamna kazi kabisa.

Daaah!! Watu ni waongo sana aisee
 
Hao waliyofutwa ni wadaiwa wa bandari
Tehee usipende kujiaibisha bila sababu za msingi...hamna gazeti lolote lisilopenda kuuza kwa kichwa cha habari kisemacho "WAFANYABIASHARA NA WADAIWA SUGU
WA BANDARI WAFUATWA" siku zote huwezi mtisha mtu alieshika bunduki
 
Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
Lete na wewe source ya Habari yako na weka heading tofauti tuje kusoma na comments zetu otherwise mtu mzima huchutama kwa muda huu
 
Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?

Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?

Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.

Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............


Tatizo watu wanadhani kupigiwa kura ama kushika nafasi ya uongozi na madaraka ndiyo kuwa kiongozi. Uongozi ni taaluma inayosaidia na tabia ya mtu aliyozaliwa nayo.

Mtu anakila kitu chini yake, lakini anashindwa kujua umhimu wake katika kufanikisha malengo. Wataalamu hadi polisi!.

Hili litakuwa ni tatizo la mtu binafsi na majuha wa ccm, linatugharimu taifa zima na vizazi vyetu kwa maslahi ya kundi dogo la watu wachache waovu!.
 
Inaelekea wadau wengi hawajui tofauti kati ya sera ya serikali ya zero tolerance to corruption na TPA marketing strategy. The latter is subject to the former.
 
mzigo bandarini unalipishwa ushuru unaozidi mali uliyoagiza halafu dukani napo uulipie tena kodi
 
Rubani aliambiwa kuachana na ushauri wa maPhD asikilize wachakalikaji walioko field sasa naona ndege yenye namba TZ-UCHUMI inajiandaa kupaa. Ngoja tuone ndege zingine.
 
Back
Top Bottom