MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Kamchezo kameanza kueleweka
Ndio wanakwepa kodi za kijinga na wanaenda Bandari ambazo hakuna kodi za kukomoana na zenye uwazi in such a way ukiagiza mzigo wako unajua utaulipia shillingi ngapi, na hamna double taxetion, can you imagine kuingiza mzigo unaulipia Port charges na kodi na ukiufikisha Dukani unaulipia tena kodi.
Fungeni hilo gazeti kama ni uwongo.Hii taarifa ni ya uongo
Are u stupid ore a complete moron ?Kama kichwa chako ni sawa na ubongo wa kuku hutanielewa.
Mkuu hiyo Avatar yako imenikumbusha ile series maarufu... Huyo ni Tee bag au Alex Mahoo?
Mwenye busara lowasa alimueleza kuwa hawezi shindana na wafanyabihshara. Lumumbaz walimtusi sana lowasa kwa iyo kauli. Ila muda umewaonyesha ukweliHuwezi kushindana na mfanya biashara!!
Kwani TCRA wako wapi?Hii taarifa ni ya uongo
Si waziri Kiongozi alijibu papo kwa papo kuwa hali ni nzuri NA wana ccm waliopo bungeni wakashangilia sanaaaaKumbe wanajua kuwa walikimbia
[emoji12] [emoji12] tatizo ni lugha ngumu wanazotumia hata sukari mpaka leo imeshindikana kushuka bei jambo LA kwanza ni kukaa NA wafanya biashara kuongea nao mkubaliane si kuwabeza NA kuitumia lugha za ajabuajabu nguvu itumike pale tu inapohitajikaKuyumba yumba kwa ngalawa sio mwisho wa safari.ni vizuri unapoona umekosea ukajirudi na kurekebisha makosa