Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Siku zote tunapopata cheo tujififunze kuomba kama Sulemani, yeye alipopewa cheo cha ufalme wa Israeli na wazee wa Israeli alikwenda mbele za Mungu akamwambia Mungu, mimi ni mchofu na sina chochote pasipo wewe na jamii hii nayotakiwa kuiongoza ni kubwa mno, naomba unijalie mimi mja wako ufahamu, maarifa na hekima ili nijue namna ya kuingia na kutoka mbele ya jamii hii (2Nya 1:7-12).
 
Your points are well taken.... and considered

Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?

Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?

Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.

Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............
 
Weka na Hiyo Ya Afrika Kusini!Please!
SA1.png

SA2.png


Yaani hata kuweka total inatia uvivu!!!!
 
Kama wafanyabiashara wa tz wamefuatwa, vp kwa maamuzi ya EAC kuhusu umoja wa ulaya na EPA? Napo nahisi tutawafuata tu!
 
PM amesema wamekutana na serikali ya DRC na imewahakikishia kuwa mizigo yote itapitishwa hapa huku wakisahau kuwa serikali sio inayoamua mizigo ipitie wapi bali ni wafanyabiashara binafsi! Bahati mbaya sana karibia ya 70% wafanyabiashara wa TZ sehemu anayobanwa kulipa ushuru stahiki si rafiki kwao!
 
Jana nimekomboa mazda plv 2006 ya mtu,kodi 11m acha port charges na takataka nyingine
Hii gari mwezi june kodi ilikua 6m juzi tumekuta 11m
pole mkuu, jana kuna uzi niliuona humu et ist ushuru milioni 20, hivi mwalimu au nesi atanunua gari kweli?
 
Back
Top Bottom