Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?

Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?

Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.

Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............


Najisikia vibaya kuitwa raia wa nchi anayoishi
mtu mwenye mawazo ya jinsi yako, Mungu akusaidie!
 
Gazeti la Mwanachi limekaa kaa kama gazeti za vyama vya upinzani, ni mara chache wanazumgumzia vitu +ve kuhusu Current Administration, kuweka weka chumvi ndiyo kazi yao, wala sikushangaa Serikali ilipo fungia gazeti la East African ambalo ni sister paper la Mwananchi mmiliki wao ni mmoja.
 
Yaani baadhi ya Watanzania tuna roho za ajabu sana, yaani kazi zenu ni kumshabulia shambulia JPJM 24X7, mnamkalia kooni kwa kujifanya nyinyi mna majibu ya matatizo yote yanayo likabiri Taifa letu - miaka yote mlikuwa wapi, mpaka Bandari yetu inafikia hatua ya mafisadi kugeuza Bandari kuwa shamba la Bibi?

Hivi jitihada zote anazo zifanya kujaribu kuinua uchumi wetu, kuzuia ukwepaji kodi, kuridisha nidhamu kazini, uwajibikaji nk - hivi kwa akili za kawaida mnafikiri kuangahika kwake kwote ni kwa faida ya akina nani? Chuki zenu za kijinga zinawafanya hata hilo msilifikirie mnakuwa Governed na blind chuki basi!!

Tukumbuke tunajenga nchi mmoja, kama una nia njema na Taifa lako basi toa ushauri kistaarabu without name calling and what have you, huu utamaduni wa kujaribu kuwadhalilisha Viongozi wetu umeanza kuota mizizi na hizi sio dalili nzuri hata kidogo kwa mstakgabali wa Taifa letu tunapaswa kujirudi.
 
amewafuata tena wakwepa kodi ina maana ile kauli yetu waende huko kwa wakwepa kod wenzao imekaaje inabid na sisi wafanya biashara tuwe na msimamo wetu had atengue kauli yake.

Ukiwa kiongozi wa familiya hupaswi kutoa matamko pasipo kufikiri kwani kauli zako zinapokelewa kwa umakini fulani na wale unaowaongoza.

Ni AIBU KUBWA SANA HII................. TUNAWABEMBELEZA KIVIPI NA IKIWA TULISHASEMA HATUBABAIKI.......

TULIYAONA HAYA KABLA NA TULISEMA HAPA JF, KUWA MIZIGO BANDARINI IMEPOROMOKA NA UCHUMI UNAYUMBA LAKINI WATU WA LUMUMBA WAKASEMA KUWA HATUBABAIKI NA WAKWEPA KODI. HAPA KAZI TU.


MIZAMBWA
KWA SASA SISEMI, YANGU MACHO NASUBIRI MATOKEO
 
Sema huwezi shindana na Soko. Mchezo wote wa Biashara kama wewe hutaki kuishi maisha ya Kikorea Kaskazini lazima ujue refa wako ni Soko fullstop.

Kumbe kuwambia wafanya biashara wote walipe kodi na Tozo halali ni dhambi? pole Mh rais kwa kuongoza tanmzania iliyojaa wanfaiki
 
Tukumbuke tunajenga nchi mmoja, kama una nia njema na Taifa lako basi toa ushauri kistaarabu without name calling and what have you, huu utamaduni wa kujaribu kuwadhalilisha Viongozi wetu umeanza kuota mizizi na hizi sio dalili nzuri hata kidogo kwa mstakgabali wa Taifa letu tunapaswa kujirudi.

Taratibu.
Usiwe na Jazba huu mchezo hauhitaji hasira. Tunafaa tuelimishana tena taratibu sana ,maana kila mmoja na uwezo wake aliojaliwa na maanani.


Baba akiwa hivi watoto je?

CCM YASIKITISHWA NA KAULI YA MAGUFULI NA KUTAKA AOMBE ...
UrlAdvisorSuspiciousImage.png

Magufuli : Wanafunzi 7802 waliofukuzwa Dodoma walikuwa ni vilaza ...
UrlAdvisorGoodImage.png


MAGUFULI AMTAKA SHEIN AACHE UPOLE KAMA NI MSAADA ...
UrlAdvisorGoodImage.png


Sakata la nauli za vivuko: Magufuli asema asiye na nauli Sh. 200 ...
UrlAdvisorGoodImage.png

Jan 2, 2012 - Magufuli achafua hali ya hewa Dar WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ... na Alina na kama watashindwa, wapige mbizi baharini kuvuka.
 
Kumbe kuwambia wafanya biashara wote walipe kodi na Tozo halali ni dhambi? pole Mh rais kwa kuongoza tanmzania iliyojaa wanfaiki

Kodi nayo lazima iwe na uhalisia na Soko-usiwe kichwa ngumu. Tafiti sheria/Kanuni ya Soko.Ukiona wafanyabishara wanalalamikia Kodi ujue Kodi hiyo haiendani na Kanuni ya Soko(Ushindani)
 
Siku zote Ubabe mfanyie masikini ila siyo mfanyabiashara mana unaweza lala bila kuvua viatu kwa kuchanganyikiwa..
Nakumbuka malaika alipokuwa waziri wa ujenzi alisababisha mgomo mkubwa kwa wamiliki wa malori ya mizigo kuhusu suala uzito wa malori kwenye mizani mpaka waziri Mkuu pinda alipoingilia kati na kutengua amri yake
 
pole mkuu, jana kuna uzi niliuona humu et ist ushuru milioni 20, hivi mwalimu au nesi atanunua gari kweli?
Duh duh...kama hukununua gari from 2015 kushuka chini....hiyo ndo imetoka
 
Nakumbuka malaika alipokuwa waziri wa ujenzi alisababisha mgomo mkubwa kwa wamiliki wa malori ya mizigo kuhusu suala uzito wa malori kwenye mizani mpaka waziri Mkuu pinda alipoingilia kati na kutengua amri yake

MBONA HAWAENDELEZI KUPITISHA MIZIGO MIZITO KUPITA KIASI KAMA WAZIRI MKUU ALITENGUA.MBONA HAWAGOMI SASA KULAZIMISHA KUPITIA MIZIGO YA UZITO MUBWA???
 
Back
Top Bottom