Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,305
Hana ujanja ni mdomo tuHahahahah sasa ile kauli ya mkuu wa kambi ya No retreat No surrender imeanza kupotezewa ehe
Hana ujanja ni mdomo tuHahahahah sasa ile kauli ya mkuu wa kambi ya No retreat No surrender imeanza kupotezewa ehe
TaratiibuDawa imeanza kuingia
Zimbabwe ipi wale marafiki zetu?Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?
Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?
Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.
Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............
Na hata china biashara siyo mzuri piawatulie tuu,,
kwakuwa ni mtikisiko wa bandari zote dunian watajileta wenyewe
Wewe jamaa unaroho ngumu kama ya pakaSasa mbona tunarudi kwa Jakaya kuwapigia Magoti Wakwepa kodi?
Alex mahone huyo.a very smart guy in the series.Mkuu hiyo Avatar yako imenikumbusha ile series maarufu... Huyo ni Tee bag au Alex Mahoo?
ohooo,hii ni biashara,watulie tuu,,
kwakuwa ni mtikisiko wa bandari zote dunian watajileta wenyewe
Tenant jembe kweli kweliKakoko ni jembe. Hakuwekwa pale kimakosa.
Bora poteza fedha lakini sio credibility; huwa ni ngumu sana kuirudisha.Tatizo lingine wafanyabiashara wanaonekana kuwa maadui wa watawala kwa siku za leo, ambao hasara ktk biashara zao ni furaha kwa baadhi ya viongozi. Na pia hawana wa kuwatetea na matisho kutoka juu yana watisha kufikia kufilisiwa, ni jambo baya na la kutisha kufilisika mali uliyoitafuta kwa taabu dhiki na shida kwa miaka nendarudi. Mkuu awahurumie waanze upya kwa safu ya wafanyakazi wazuri waliopo sasa na awe mkuu wa wote siyo baadhi ya watz tu. Mama yetu alikuwa na baba mwingine aliyetuacha na mama yetu, baba mpya asitufunge kwa kwa makosa ambayo tuliamliwa kuyafanya tukiwa na baba yetu aliyemtangulia bali achambue na kutuona wote ni watoto wa mama mmoja.
Nini jembe, na awe sururu pia lakini biashara haitaki ubabe na ukadiriaji wa kodi wa kukomoana. Wanasahau kuwa kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kutumia. Sasa kodi inakusanywa kupitia kwa nani?Kakoko ni jembe. Hakuwekwa pale kimakosa.
watu walikuwa wanakwepa kodi unawafuata wa nn?? labda kama utawasamehe kodi ndio wataagiza mizigoHii ni habari katika gazeti la Mwananchi la siku ya leo tarehe 10/09/2016.
View attachment 397391
Chanzo: Mwananchi
Baada kupatwa kwa jua,sasa ni kupatwa kwa bandari!
Sasa mbona tunarudi kwa Jakaya kuwapigia Magoti Wakwepa kodi?
Kamwombe Majaliwa Kassim Majaliwa!Weka attachment ya hiyo barua hapa jukwaani...