Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
Acha bhana... ama kweli wewe ni Greet Thinker! Kumbe meli 7000 duniani zimepaki na kuuzwa chuma chakavu na kilichopo huko baharini ni mitumbwi??!! Hata kama kilichopo ni mitumbwi; hiyo mitumbwi nasi tunaitaka lakini sio kwa mgawanyo huu:

Bandari za Tanzania
Dar.png

Bandari za Kenya:
Kenya.png

Bandari za Msumbiji:
Beira.png


Hapo hatujawekwa "mitumbwi" iliyopo na inayotarajia kufunga nanga kwa Madiba!!!!

Source: Marine Traffic
 
Swali Kuntu!

Viongozi Wetu wa Kiafrica Ufikiri Uongozi Unamanisha Una Akili Nyingi Kuliko Uwaongozao!


Na mtu yeyote mwenye fikra hizo 'tayari si kiongozi". Uongozi siyo cheyo!. Mtu yeyote kiongozi hawezi kuwa na fikra hizo. Fikra hizo ni za mtu aliyepewa cheyo cha kuongaza bila kuwa na sifa za uongozi!.

Anatiisha watu kwa kutumia nguvu alizokabidhiwa za ku-reprimand, ku-reward na legitimacy, bila referent wala expertise. Sasa anawatiisha watu kufanya nini kama siyo kufunika aibu yake? Uongozi siyo kupigiwa kura.
 
Kufanya hivi ni upuuzi kiwango cha lami ni kutengeneza makundi, hivi hawa washauri wa bob wanatoka sayari gani
Kama ni kweli hili litakuwa kundi untouchable!
Kinachitakiwa ni kuweka mazingira rafiki kwa biashara
Uaminifu
Wepesi wa nyaraka
Uhakika wa kutoa mizigo kwa wakati
Kupunguza mlolongo wa kodi kwa ajili ya kuvutia wateja wengi zaidi
Bandari kufanya kazi 24/7 kwa shift
Nk nk
Nina hamu hata nimsikie akitamka neno Bandari tu, hivi karibuni. Maana hata neno Sukari silisikii tena kinywani mwake, japo hali bado ni mbaya mtaani bei ni kuanzia 2500 na kuendelea.
 
Acha bhana... ama kweli wewe ni Greet Thinker! Kumbe meli 7000 duniani zimepaki na kuuzwa chuma chakavu na kilichopo huko baharini ni mitumbwi??!! Hata kama kilichopo ni mitumbwi; hiyo mitumbwi nasi tunaitaka lakini sio kwa mgawanyo huu:

Bandari za Tanzania
View attachment 397338
Bandari za Kenya:
View attachment 397339
Bandari za Msumbiji:
View attachment 397340

Hapo hatujawekwa "mitumbwi" iliyopo na inayotarajia kufunga nanga kwa Madiba!!!!

Source: Marine Traffic
Weka na Hiyo Ya Afrika Kusini!Please!
 
Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
si alisema amewapa Siku 7 wawe wameisha lipa madeni wanayodaiwa, zilikua hazijaisha??
 
Ni vigumu kushindana na mtu aliyeshika kwenye mpini,ukishindana naye atakapovuta mpini ni lazima utampigia magoti kwa kuwa umeshika kwenye makali.
 
Siyo vizuri kushangilia msichokijua jamani. Hao waliyofuatwa ni wadaiwa sugu wa bandari siyo waleta mizigo. Wao mizigo wataleta na nini wkt meli karibu 7000 duniani zimepaki na zingine zimevunjwa kuwa vyuma chakavu kwa kukosa bidaa? Naona JF siku hizi imekuwa siyo greetthinkers bali imebaki ya wanywa mbege wasiyo na uelewa bali washangiliaji
Meli zimepack!? Sasa mbona kilio kipo tz zaidi? Why Mombasa na Beira wanapiga kazi kama kawaida!?
 
Hii ni habari katika gazeti la Mwananchi la siku ya leo tarehe 10/09/2016.

Chanzo:Star tv magazeti

Baada kupatwa kwa jua,sasa ni kupatwa kwa bandari!
N vzuri kama wametambua hlo na sisi ndio tunataka tuwaombeee wafanikiwe aisee.... Tusiwekeee siasa kwa hatua hiii nzuri
 
Back
Top Bottom