Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Bandari yawafuata wafanyabiashara 100

Sasa Mkulu si alijifanya masikini jeuri kwa kutamba kuwa waliokimbia kutumia bandari ya Dar ni wale wafanyabiashara wakwepa kodi na akawaambia kuwa waende kwenye hizo bandari za nchi nyingine zinazoruhusu mizigo kupita bila kulipiwa kodi?

Sasa baada ya kuona bandari imekauka kabisa ndiyo anakuwa 'mpole' na kutaka kwenda kuwapigia magoti?

Hii nchi haitakiwi kuendeshwa kwa ubabe na matamko ya majukwaani, badala yake inatakiwa kuendeshwa kwa kufuata sheria za nchi na kusikiliza maoni ya wadau mbalimbali namna bora ya kuiendeleza nchi yetu.

Mkulu akiendeleza kuendesha nchi yetu kwa staili yake ya ONE MAN SHOW, hakika nchi yetu itakuwa inaelekea kuwa another Zimbabwe...............
Sasa hapa mmeonyeshwa in black and white jinsi wafanya biashara wakubwa wanavyo hujumu nchi, wanakuhujumu wewe hapo unless otherwise ukawa mmoja wao waliokua wakinufiaka na hizo hongo waliokua wakitoa hao wafanya biashara. Hata kama utafuata sheria kama wao walizoea kutoa honga na kukwepa kodi unadhani itasaidia kitu gani?
Kwapammoja tunaweza kusimama pammoja na tukaomba kodi na vat ishushwe kidogo na pia tukasimama pammoja tena kupinga ufisadi na rushwa kama tuna nia njema na nchi lasivyo zitakua kelele tu kwa ajili ya matumbo yetu
 
Naskia mpa sasa hivi tuna viwanda 50 na ajira zinapatika kiurahisi sema wantanzania atutaki kufanya kazi hapa kazi tu
 
PM amesema wamekutana na serikali ya DRC na imewahakikishia kuwa mizigo yote itapitishwa hapa huku wakisahau kuwa serikali sio inayoamua mizigo ipitie wapi bali ni wafanyabiashara binafsi! Bahati mbaya sana karibia ya 70% wafanyabiashara wa TZ sehemu anayobanwa kulipa ushuru stahiki si rafiki kwao!
Swali la msingi, ni kwanini wawafuate or kuzungumza nao wakati, Serikali ilijihami na kusema haina shida....?
This time, maji yataitwa mma.
 
Unapoletewa hoja jaribu kupata muda wa kutafakari kwa kina ili uwe na mchango kwenye mada!,jiulize gazeti gani limeandika na kwa mantiki ipi,mwisho unaweza kutoa wazo zuri la kujenga nchi.
 
Hii ni habari katika gazeti la Mwananchi la siku ya leo tarehe 10/09/2016.
View attachment 397391

Chanzo: Mwananchi

Baada kupatwa kwa jua,sasa ni kupatwa kwa bandari!
Tena wanatakiwa wajue Bakhresa anaitumia kwakua hana njia mbadala. Kama angekua na njia Mbadala asingeitumia. Na kingine wajiulize Viwanda vyake vya Burundi, Rwanda na Zimbabwe vinatumia hii bandari ya Dar!?
Maana namuona jamaa hapo kila baada ya sentensi mbili anamtaja Bakhresa.
 
Naskia mpa sasa hivi tuna viwanda 50 na ajira zinapatika kiurahisi sema wantanzania atutaki kufanya kazi hapa kazi tu
Bro hivyo viwanda vipo wap labda tuone iyo ajira.. kwanza toa ushabiki katka suala la ajira coz hakuna mtu hasietaka kufanya kazi ila system ya ajira unaijua saana tz..
 
Huyu jamaa na uongoz wake lazima watafyata tuu mkia, coz hana deplomacy kwny bzness za watu, bora angekusanya kodi tuu ila hatoe huo ubabe na urasimu kwa hawa watu, lazima ajute kwa nn anajifanya dikteta
 
IN MAANA WAZIRI MKUU ALILIDANGANYA BUNGE HIVI MAJUZI ALIPOTOA SABABU ZA KUPUNGUA KWA MIZIGO BANDARINI KUWA NI UCHAGUZI NCHI ZA ZAMBIA NA CONGO.

MSIKILIZE HAPA:-

 
Gari unaagiza kwa Tshs milioni 19 pale bandarini unalipia wastani wa milioni 15 kwa hapo bado storage charges! Kama kuna mtu kwa kipindi hiki anatumia hiyo bandari basi akapimwe akili!!
 
Gari unaagiza kwa Tshs milioni 19 pale bandarini unalipia wastani wa milioni 15 kwa hapo bado storage charges! Kama kuna mtu kwa kipindi hiki anatumia hiyo bandari basi akapimwe akili!!
Nadhani wanafidia pengo la uhaba wa mizigo.
 
Hahahahha....buku 5 huwezi kuwaona hapa... huu uzi una misumari kwao...

Anyway eti bora tupate mizigo michache ya walipa kodi...

Bado utalii mtaniambia siku za mbeleni.
 
Back
Top Bottom